Pre GE2025 RC wa Manyara Queen Sendiga: Nitashangaa mwanamke unampigia kura mwanaume. Utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake

Pre GE2025 RC wa Manyara Queen Sendiga: Nitashangaa mwanamke unampigia kura mwanaume. Utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu

Hivi CCM hamnaga mfumo wa vetting kudhibiti nani ataongelea chama chenu?

Hizi kauli mnataka wanaume wazichukuliaje? Na huyu anayejiita Queen ni nani ndani ya chama chenu mpaka awatolee matamko?

======================================

“Kwanza umri wa CCM kutimiza miaka 48 hapa leo tulipo inaonyesha namna ambavyo wananchi wanaamini Sera na Ilani za CCM lakini mafanikio ya nchi hii ni kutokana na msingi mzuri wa CCM ambapo umeweka sheria nzuri kanuni na kutengeneza viongozi bora na moja ya matarajio yangu nikuona wanawake wengi wanampigia kura Samia kuwa Rais wa nchi hii

Nitashangaa kuona wanawake wa vyama vingine wakiwapigia kura wagombea wa vyama vyao ambao ni wanaume kwa sababu moja ya ajenda ya wanawake Dunia ni wanawake na uongozi sasa nitashangaa kuona mwanamke unampigia kura mwanaume hapo utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake”


Source: Clouds FM

Wakuu

Hivi CCM hamnaga mfumo wa vetting kudhibiti nani ataongelea chama chenu?

Hizi kauli mnataka wanaume wazichukuliaje? Na huyu anayejiita Queen ni nani ndani ya chama chenu mpaka awatolee matamko?

======================================

“Kwanza umri wa CCM kutimiza miaka 48 hapa leo tulipo inaonyesha namna ambavyo wananchi wanaamini Sera na Ilani za CCM lakini mafanikio ya nchi hii ni kutokana na msingi mzuri wa CCM ambapo umeweka sheria nzuri kanuni na kutengeneza viongozi bora na moja ya matarajio yangu nikuona wanawake wengi wanampigia kura Samia kuwa Rais wa nchi hii

Nitashangaa kuona wanawake wa vyama vingine wakiwapigia kura wagombea wa vyama vyao ambao ni wanaume kwa sababu moja ya ajenda ya wanawake Dunia ni wanawake na uongozi sasa nitashangaa kuona mwanamke unampigia kura mwanaume hapo utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake”


Source: Clouds FM
Wechsler (WAIS–IV, WPPSI–IV) IQ classification
IQ Range ("deviation IQ")
IQ Classification
130 and above
Very Superior
120–129
Superior
110–119
High Average
90–109
Average
80–89
Low Average
70–79
Borderline :ALERTA:
69 and below
Extremely Low
 
Wakuu

Hivi CCM hamnaga mfumo wa vetting kudhibiti nani ataongelea chama chenu?

Hizi kauli mnataka wanaume wazichukuliaje? Na huyu anayejiita Queen ni nani ndani ya chama chenu mpaka awatolee matamko?

======================================

“Kwanza umri wa CCM kutimiza miaka 48 hapa leo tulipo inaonyesha namna ambavyo wananchi wanaamini Sera na Ilani za CCM lakini mafanikio ya nchi hii ni kutokana na msingi mzuri wa CCM ambapo umeweka sheria nzuri kanuni na kutengeneza viongozi bora na moja ya matarajio yangu nikuona wanawake wengi wanampigia kura Samia kuwa Rais wa nchi hii

Soma pia: Jokate Mwegelo: Wanawake ifike mwisho kuwapigia kura wanaume

Nitashangaa kuona wanawake wa vyama vingine wakiwapigia kura wagombea wa vyama vyao ambao ni wanaume kwa sababu moja ya ajenda ya wanawake Dunia ni wanawake na uongozi sasa nitashangaa kuona mwanamke unampigia kura mwanaume hapo utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake”


Source: Clouds FM
Huyu naye ni kiongozi? Nina mashaka na uwezo wake.
 
Sendiga translated in english to I'm dying
 
Wakuu

Hivi CCM hamnaga mfumo wa vetting kudhibiti nani ataongelea chama chenu?

Hizi kauli mnataka wanaume wazichukuliaje? Na huyu anayejiita Queen ni nani ndani ya chama chenu mpaka awatolee matamko?

======================================

“Kwanza umri wa CCM kutimiza miaka 48 hapa leo tulipo inaonyesha namna ambavyo wananchi wanaamini Sera na Ilani za CCM lakini mafanikio ya nchi hii ni kutokana na msingi mzuri wa CCM ambapo umeweka sheria nzuri kanuni na kutengeneza viongozi bora na moja ya matarajio yangu nikuona wanawake wengi wanampigia kura Samia kuwa Rais wa nchi hii

Soma pia: Jokate Mwegelo: Wanawake ifike mwisho kuwapigia kura wanaume

Nitashangaa kuona wanawake wa vyama vingine wakiwapigia kura wagombea wa vyama vyao ambao ni wanaume kwa sababu moja ya ajenda ya wanawake Dunia ni wanawake na uongozi sasa nitashangaa kuona mwanamke unampigia kura mwanaume hapo utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake”
Pia soma: Pre GE2025 - Kipindi hiki cha Uchaguzi wanawake wanapata nafasi ya kutosha kushiriki kwenye masuala ya uchaguzi?


Source: Clouds FM
Nitashangaa mwanaume ukimpigia kura mwanamke
 
Wakuu

Hivi CCM hamnaga mfumo wa vetting kudhibiti nani ataongelea chama chenu?

Hizi kauli mnataka wanaume wazichukuliaje? Na huyu anayejiita Queen ni nani ndani ya chama chenu mpaka awatolee matamko?

======================================

“Kwanza umri wa CCM kutimiza miaka 48 hapa leo tulipo inaonyesha namna ambavyo wananchi wanaamini Sera na Ilani za CCM lakini mafanikio ya nchi hii ni kutokana na msingi mzuri wa CCM ambapo umeweka sheria nzuri kanuni na kutengeneza viongozi bora na moja ya matarajio yangu nikuona wanawake wengi wanampigia kura Samia kuwa Rais wa nchi hii

Soma pia: Jokate Mwegelo: Wanawake ifike mwisho kuwapigia kura wanaume

Nitashangaa kuona wanawake wa vyama vingine wakiwapigia kura wagombea wa vyama vyao ambao ni wanaume kwa sababu moja ya ajenda ya wanawake Dunia ni wanawake na uongozi sasa nitashangaa kuona mwanamke unampigia kura mwanaume hapo utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake”
Pia soma: Pre GE2025 - Kipindi hiki cha Uchaguzi wanawake wanapata nafasi ya kutosha kushiriki kwenye masuala ya uchaguzi?


Source: Clouds FM
Hizi ndo kauli mamlaka ilomteua inapenda kusikia. Atamke wazi wanawake waoane wenyewe kwa wenyewe na mimba wapeane wenyewe shubhamit
 
noma sana,

huwa najiuliza ni kwa namna vipi Bi Tozo alipenya mpaka kuwa rais ilhali Dini yake haimruhusu ata kutoa hotuba ndani ya msikiti wa kijiji nakosa majibu.

enyi wanawake, there is no way mtakuja kuishinda nature.!!
Kwani hii nchi inaongozwa kidini?
 
CCM Ni Chama Kilichokataliwa Tanzania Nzima
Upinzani Wahakiikishe Kura Zinahesabiwa Wazi Wazi
 
Raisi hachaguliwi sababu ni mwanamke.
 
Hakika Shetani yupo kazini
Wakuu

Hivi CCM hamnaga mfumo wa vetting kudhibiti nani ataongelea chama chenu?

Hizi kauli mnataka wanaume wazichukuliaje? Na huyu anayejiita Queen ni nani ndani ya chama chenu mpaka awatolee matamko?

======================================

“Kwanza umri wa CCM kutimiza miaka 48 hapa leo tulipo inaonyesha namna ambavyo wananchi wanaamini Sera na Ilani za CCM lakini mafanikio ya nchi hii ni kutokana na msingi mzuri wa CCM ambapo umeweka sheria nzuri kanuni na kutengeneza viongozi bora na moja ya matarajio yangu nikuona wanawake wengi wanampigia kura Samia kuwa Rais wa nchi hii

Soma pia: Jokate Mwegelo: Wanawake ifike mwisho kuwapigia kura wanaume

Nitashangaa kuona wanawake wa vyama vingine wakiwapigia kura wagombea wa vyama vyao ambao ni wanaume kwa sababu moja ya ajenda ya wanawake Dunia ni wanawake na uongozi sasa nitashangaa kuona mwanamke unampigia kura mwanaume hapo utakuwa umesaliti ajenda ya wanawake”
Pia soma: Pre GE2025 - Kipindi hiki cha Uchaguzi wanawake wanapata nafasi ya kutosha kushiriki kwenye masuala ya uchaguzi?


Source: Clouds FM
 
Back
Top Bottom