Uchaguzi 2020 RC wa Mwanza, John Mongela avunja Mwiko wa Kampeni Kwa Kuongea Ukweli Bayana!, "Tukimpa Mitano Tena, JPM Kuigeuza Tanzania Nchi ya Maziwa na Asali"

Siku unapelekwa Kamati ya Bunge niliwaambia wanaJF, huyu ameitwa na wapuuzi wenzie mpuuzeni, wakanipinga. Leo wanauona wazi uwezo wako wa kujipendekeza ulivyo wa kiwango cha juu ndo wanashtuka. Wanaona uchumia tumbo wako ndo wanagutuka, kumbe? Wanaona ulivyo mkabila wanashangaa allaaaaa!!
Ungekuwa timamu usinheshabikia ukiukaji dhahiri wa kanuni zaaadili ya uchaguzi huku ukijiita Mwanasheria.
 
Nani atampa u DAS katika serikali ipi? Hii ya Magufuli inaishia 28/10 sasa nani atamteua hiyo nafasi?
Na huyo Mongela aliyepata uRC kwa mbeleko na umaarufu wa mama angejiandaa kwa kazi nyingine kama kufuga kuku au nguruwe maana huo uRC ndio kwaheri tena maana utakuwaje RC wakati umeamua kuwa kada wa chama cha upinzani CCM katika serikali ya Chadema?
 
Magufuli ni mbele kwa mbele hadi 2025..

Lazima mnyooshwe
 
CCM inawaona watanzania wapumbavu lakini kuna kamsemo ka kizungu kanasema 'Never underestimate the power of stupid people in large numbers'.
 
Wanatumwa kama majini vile, avunje mwiko avunje sufuria hata sahani avunje . Sanduku la october 28 ni juu sisi wapiga kura πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
You are the winner for the Trophy of the Hopeless thread of the day.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…