Reading in between the lines & listening in between the words. Ikitokea kuna kitu amekinoti lakini hakukisema, ukikijua kuna ubaya tumseme?

Nimekuelewa... Unakerwa na uongo wa wanavijiji kuzuia misafara. Unakerwa na misururu ya magari ya kifahari yaendayo kasi kwenye msafara wa SSH!
Mwisho unakerwa na msururu wa vikosi vya kumlinda SSH!
Kama psychoanalyst, naungana na wewe!
Najua yote ni michongo ya wajanja wachache ili wajustify kula hela za Ikulu!!
 
Mkuu Mzalendo Uchwara , naunga mkono hoja, hizo ni fani sa watu ila sometimes wana over do things!. Mwenzetu umeisha wahi ona speed ya msafara kwenye barabara ya vumbi?.
P
 
halafu kuna kitu nimenote toka akiwa VP , umekua na heshima kubwa kwake sijui kwa nini
Sababu mbona niliisha ziweka humu.. Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu? halafu ukakuta mtu mwenyewe ni hivi Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” utaanzia wapi?.
maana hata maandiko yako hujawahi kumponda Rais Samia sijui kuna nini
Mkuu chotera , huyu ni Mama, heshima mbele, ila ukiona hivyo ujue Mama yuko perfect, ila siku akiboronga ni spana tuu kama kawa Ila ni spana za kuheshimu heshima kama hivi Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

P
 
"pascal mayala"

Kwamba kulikuwa na HATARI fulani lakini ameokoka kwenye HATARI Hiyo Sio!!?

Yeye afuate MAAGIZO ya wale waliomweka!!

"The state wamesema apewe Muda"!

Hilo tu!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
 
Mkuu Jp Omuga kiukweli nafarijika sana kila nikutapo wana jf wenye uwezo to read in between the lines
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…