Real estate business Tanzania inaelekea kufa kabisa, kwa sasa inapumulia mashine

Kwaiyo mkuu wewe unamiliki nyumba ya million mia ngapi?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Mbona sababu ziko wazi? Watu wanauliza as if hawajui mambo yanavyokwenda (Kodi nyingi while purchasing power ya wananchi ni ndogo). Wanauchumi waliokuwa na guts especially wa ulinzani walishauri na kushauri lakini hakuna hatua zilizokuwa zikichukuliwa. Serikali inayojiona imejikamilisha kilakitu ndio serikali idondokayo.
 
Kwa hiyo maoni yako ni yapi? au nio umbea tu unakusumbua?
 
Mkuu hii biashara imeanguka ghafla bin vuu, kuna watu walitia pesa nyingi wakidhani mambo yatakuwa kama yalivyokuwa , walipomaliza majengo ndo wanakutana na huu mdororo, naukute ilikuwa ni pesa ya benki ndo balaa
Hiyo ndio Watoto wa Mjini wanaiita Mbuzi kameza condom
 
Ngoja mirad mikubwa ya kukamuana ya kukamuana kodi za kila aina iishe, ndipo hapo mkanda unawezwa kulegezwa kidogo..labda 2030 hivi.
 
Toka jiwe ashike madaraka hakuna sekta yoyote yenye unafuu, Japo Mataga hawawezi liona hili.
 
Ucumi imara unapimwa na vitu viwili muhimu.
1.Financial system
2.Stock Market
Hiyo number 1 ndio mjumuisho hadi wa real estate financing,kw anchi hiii financial system iko hoi kweli kweli,ikimaanisha uchumi uko hoi pia..
Umeongea sahihi mkuu labda nami niongezee nyama katika hili. Kosa kubwa serikali ililofanya ni kuua Financial markets. Ni Kama vile tumejisahaulisha umuhimu wa financial market katika kukuza uchumi wa nchi. Hii imesababisha investments even foreign direct investment FDI kuwa garama na ngumu (Unfavourable environment for investment).
Hakuna maendeleo pasipo uwekezaji wenye tija. Nchi zilizoendelea vizuri (Well - Developed countries ambazo ni marafiki Kama France ( Tumeona mwezi uliopita Waziri Kabudi alikuwa kule kwaajili ya kustrengthen mahusiano Kati ya nchi hizi mbili) zinapaswa ziifund serikali yetu kunyanyua uwekezaji.
Serikali inapaswa kuhakikisha masoko ya kifedha yanakuwa imara (Decentrolise
Financial market). Hii hupelekea taasisi za kifedha kujiitosheleza na kuwa na mizizi mizuri ya kifedha zikisimama na kurahisisha transactions kati ya economic agents( wazalishaji na watumiaji) na vyanzo vya kifedha.
Hii hurahisisha mzunguko wa pesa kukua na uwekezaji ulio na tija kuongezeka kwasababu wafanyabiashara wanakuwa na uwezo wa kutanua biashara zao na biashara mpya kuanzishwa. Sasa hizi sera tunazozifuata sasa hivi napata mashaka sana.
 
Yatakuwa na faida baadae kwani life time yake ni miaka mingapi? Watz wanaendelea kuongezeka na tunaendelea kufyatua wengine.
Kwahiyo mnataka kuwazulumu wenye nyumba hizo halafu bado munataka mwekezaji mwingine aje ajenge?
 
Hii ni ishara kuwa mafisadi wana hali ngumu sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…