Ongea kama mwanamichezo, na madrid tukianza sema aliloweka refa mfukoni na lililogonga mwamba.? By the way barcelona kashinda 2-1 let it be that way kama nyie mlivyokaa 3-1 Bernabeu first leg.
Kumbe ndo maana unamchukia MESSI??? Pole kamanda.. Tukutane maeneo kurudisha mitaji.. Nimepgwa vbayaOngea kama mwanamichezo, na madrid tukianza sema aliloweka refa mfukoni na lililogonga mwamba.? By the way barcelona kashinda 2-1 let it be that way kama nyie mlivyokaa 3-1 Bernabeu first leg.
jana kabla ya mechi nlikuwa nawaambia waliokuwa karibu yangu,huyu refa huwa hana uwezo na big match nimeshaangalia match nying kubwa akichezesha yeye mara zote anapanic badala ya wachezaji kupanic,sijawahi kuona kama kumbukumbu zangu zipo sawa huyu refa katuchezesha mechi kubwa tukashinda....goli la bale kakataa sijaona kama kuna offiside yoyote pale....tulicheza vizuriIsco katoka nadhani sababu kulikuwa na too much dispossesion toka katika upande wake, modric kampisha silva aonje heat ya elclassico kwa sababu anaweza na from few touches alizopata kaonesha hilo.
Verane kaingia sababu all center backs zilikuwa na kadi kitu ambacho kilikuwa kinawafanya wasiwe wanakaba agressively. Unaweza ona hilo toka goli la pili, pepe aliogopa sliding tackle, i think angekuwa ramos asingemtreat suarez that much soft.
So far timu imecheza vizuri, isingekuwa refa kutoatoa kadi zisizo na kichwa wala miguu tungeshuhudia mechi nzuri ya El Classico
Neymar ni overated player, leo kawaangusha wenzake barca angefungwa lawama zingekuwa kwake. Iniesta kwangu ndiye alikuwa mtu hatari katika mechi nzima.
ilikuawaje?Barcelona hawawezi kuwafunga Real Madrid in this situation. Achana na Neymar, full squad ya Barcelona ni dodge tu.
Isco katoka nadhani sababu kulikuwa na too much dispossesion toka katika upande wake, modric kampisha silva aonje heat ya elclassico kwa sababu anaweza na from few touches alizopata kaonesha hilo.
Verane kaingia sababu all center backs zilikuwa na kadi kitu ambacho kilikuwa kinawafanya wasiwe wanakaba agressively. Unaweza ona hilo toka goli la pili, pepe aliogopa sliding tackle, i think angekuwa ramos asingemtreat suarez that much soft.
So far timu imecheza vizuri, isingekuwa refa kutoatoa kadi zisizo na kichwa wala miguu tungeshuhudia mechi nzuri ya El Classico
Neymar ni overated player, leo kawaangusha wenzake barca angefungwa lawama zingekuwa kwake. Iniesta kwangu ndiye alikuwa mtu hatari katika mechi nzima.
Kumbe ndo maana unamchukia MESSI??? Pole kamanda.. Tukutane maeneo kurudisha mitaji.. Nimepgwa vbaya
Umeongea points sana bro. Nadhani sasa Ancelotti aende tu sasa mwisho wa msimu. Great personality, but his coaching skills are not at Blancos' level. Jamaa anawaabudu wale wanariadha wawili kule mbele. Hata iweje wameharibu vp hana guts za kuwatoa. All in all, i'm proud of our boys' performances kabla ya goli la 2. Liga is still nobody's, barca watadrop points at some point no doubt, if our boys stay focused tunaweza kumaliza juu. Champions League pia tukiwavuka Atleti sioni nani atatuzuia. As we always say, Hasta el final, hala Madrid.
mkuu unataka ancelotti atoke aje nani.? suggest makocha watatu ambao unaona watafaa. Kumbuka since del bosque aondoke wameshapita makocha takribani 13 mpaka kuja mourinho. Bila kusahau kuna kocha alikuwa anaitwa Jose antonio Camacho ambaye alidumu kwa wiki tuu akabwaga manyanga. We dont need that kind of Madrid. Pia kumbuka madrid ni timu kubwa sana duniani na yenye pressure kwa both coach na wachezaji. Ni makocha wachache sana wanaweza cope na hiyo pressure ya mashabiki na media, Anceloti is one of them.
Pia kumbuka madrid ina Gallacticos, huwezi kuwa na wachezaji nyota ukawapa mwalimu wa kawaida, Mwalimu inatakiwa awe na uwezo wa kuwamanage galacticos na kudeal na situation zao. Laa sivyo watampanda kichwani kwa maana hiyo Real madrid inahitaji kocha world class na mwenye CV iliyotukuka. Kwa sasa hakuna kocha aliye active mchezoni anayeipiku CV ya Carlo Anceloti. Anceloti kamanage big names wengi sana from Kaka' watukutu kama Gattuso na Zlatan, wakina shevchenko, John terry, Lampard, Inzaghi. Kumanage wachezaji hao pekee na kupata matokeo ni enough CV ya kutosha kuwamannage wakina CR7, Bale & Co
Pamoja na CV zote za Carlo, ana kitu kimoja kikubwa anaki-miss na ndio maana hafai kufundisha Madrid, guts. Na jamaa ni mzito sana kutambua makosa ndo maana jana tulivyochemka tukapotea kabisa, ndio maana Atleti mechi 6 mfululizo tunarudia yale yale na ushindi wetu ni draw. I say tumpe Zizou, he was a galactico himself, he's done good with Castilla so far. Madrid haiitaji fundi wa mbinu kama ---- mou au disciplinarian kama Capello. Tunahitaji watu wenye knowledge ya mpira kwa wastani na wenye utulivu kama Carlo mwenyewe au Zizou, ila kikubwa wawe na guts. Timu apewe Zizou, VDB was nobody when he took the real galactico era.
hahahaaa..! zizzou bado kupewa timu, Acha ajinoe kwanza na castilla, Being Gallactico ni one thing kufundisha gallactico ni another ( Refer Maradona case). Kinachotakiwa nadahni Anceloti amekosa mshauri wa kuchangia naye mawazo pembeni yake, Kitu ambacho zizzou kwa msimu uliopita alikuwa anakifanya kwa ustadi mkubwa sana. Nimesoma romours za kumreplace Hiero na Raul next season, Sijui how good raul is katika dressing rooms But i hope wnaopendekeza they know. Mechi ya jana sioni makosa ya Carlo yalipo as mpaka sasa madrid tunalack box to box CDM.
Madrid mpaka sasa naona tunacheza kiujanjaujanja tuu kwa kutegemea skill za counter attack za BBC na possesion za wakina Modric, isco na Marcelo. Combination ya James, Modric na kroos ilikuwa stable sana as james himself ana uwezo mkubwa sana wa kukeep possession na kurecover balls (Sizungumzii kukaba bali kupokonya) na kupiga penetration passes. Kuumia kwake kumeesababisha uhaba wa magoli kwa BBC. Kama unaifuatilia timu vizuri, all these started when james and Modric hawakuwepo katika midfield. Nafasi ya alonso naona Illara kashindwa kuvaa viatu, Naona tumemsajili Lucas Silva. So far mpaka sasa ni promissing kwa mechi alizocheza, Though Anceloti asingeweza kurisk kumchezesha mechi ya jana kwani ile elclassico ni zaidi ya mechi (Much tension, Much skills na relaxation ya hali ya juu inahitajika kuperform. Ndio maana alimungiza dakika 2 za mwisho kuondoa woga wa mechi na kumpatia experience.
Case ya Atletico ni tofauti, katika mpira kuna historia na uteja. Enzi za Del bosque mpaka tunakabidhiwa hadhi ya dream team miaka ya 2000, Madrid tulikuwa wateja wa Juventus. Kila tulipokutana na juventus tulikuwa lazima tutoke, tunashinda Bernabeu, wanashinda Montes del Alpi tunatolewa kwa tofauti ya magoli, Nedved alikuwa anatunyanyasa kweli. Lakini usisahau Atletico katika mara zote tulizokutana nao msimu uliopita tuliwafunga na kuambulia suluhu, Msimu huu kibao kimegeuka. Tena kwa sasa siyo atletico tuu, Wengine niliokuwa nawahofia ni Dortmund.
Maradona is nothing but a drug fiend, ni dharau kwa Zizou kumtolea mfano na huyo jamaa.
When i say Zizou was a Galactico himself, point yangu ni kuwa hakuna wannabe galactico yoyote atakayempagawisha.
Box to box midfielder? Tell me the position anayocheza Isco katika Madrid ya sasa? Alonso's role died with Toni's arrival. Toni became our perfect go-to man, look how's doing, PERFECT.
James and Modric' injuries kweli ilikuwa pigo, but not an excuse. We had started crumbling hata kabla ya hizo injuries zao. After Club world cup, tulivyoenda Dubai ndo kila kitu kikaanza kuyumba. Toni, who's the main man alikuwa analia kachoka, katumika sana since World Cup na haijawahi kumkuta kabla. Jamaa alizoea kwenye ligi yao, wanapata break ndogo kabla ya kuanza mzunguko wa pili. But what did the Italian do, keep playing him. Akachoka akapoteza focus at times, na since timu imejengwa around yeye, tukaanza kuzingua.
BBC is made of a not aggressive skilful Benzo, na wanariadha wawili. Cristiano anafunga akitengenezewa, his passing is a joke, he can't dribble past anyone unless he uses speed. Lately, jamaa karudia tabia zake za Premier, kununa nuna tu na frustrations zisizo na msingi. Bale yule msimu mzima amekuwa ovyo. He had a promising pre-season ila it seems tulimuacha kwao tulipoenda kucheza Uefa Supercup. Anacheza kwa nini?
Carlo is plain thick minded, football wise. Subs zake mara nyingi ni scripted, jamaa anapanga Isco, Benz lazima watoke kila mechi, haijalishi wamecheza vp. Jana, mchezo wa ligi, tumeshafungwa which means we had to score, kamtoa Defender for a Defender. Umesema alifanya hiyo sub coz jamaa waliogopa kuwa aggressive coz wana kadi tayari. Hapo ndo unaona jamaa hana uthubutu wala haelewi anachokifanya, tumeshafungwa tayari na tumeishiwa mbinu za kutafuta goli na kuucheza hata huo mpira, ila jamaa anafikiria kukaba. Kwanini asingemtoa Carvajal, acheze with Ramos-Pepe-Varane vs barca's trio. Marcelo asogee kwenye kiungo. Toa useless bale, ingiza Lucas Silva aje kuongeza nguvu kati, sogeza Isco mbele ambapo ndio ana madhara. Ila jamaa anapunguza kiungo, anaingiza mwanariadha mwingine, smh.
Mkuu sidhani kama huwa unafuatiliaga mechi za madrid kiundani zinavyochezwa. Madrid currently haina box to box midfielder, ninapozungumzia box to box CDM namaanisha type ya wakina Matic, Gatuso, Alonso, shcweinstiger, Makelele, Khedira (katika form), Mascherano nk. Kroos alipokuwa bayern, kazi kubwa ilikuwa inafanywa na schweinstiger, Gustavo na Lahm kwa nyakati tofauti. Kaja Madrid kafikia katika nafasi ya CDM kitu ambacho kilikuwa kigumu kwake kucope lakini kwa msaada wa wakina James na Modric tukafanikiwa kucheza mechi 22 unbeaten. Kroos anaichezesha timu kutokea chini, na yupo weak sana katika ukabaji. Most of ball recoveries zilikuwa zinafanywa na james na modric katika midfield area.
Kuumia kwa modric kuliacha hole ambalo halikuonekana mpaka pale Ramos na James walipokuja kuumia kwa mpigo kukaiexpose madrid kupita kiasi. Timu haina mipango, ikawa inacheza tuu pasipo plan.
Unasema kafanya blunder kwa kumtoa pepe na kumuingiza Varane. Ni kocha mpuuzi tuu ndio anaweza fanya hilo ilhali anaona kabisa mwenendo wa refa sio mzuri katika utoaji wa kadi. Kumbuka all back line ya madrid except marcelo ilikuwa na kadi. Plus two of three midfield walikuwa na kadi.
Kama kocha huwezi thubutu kuingia hiyo risk ya kuja kucheza pungufu ukizingatia unacheza na barcelona yenye proffessional divers kama neymar na suarez katika front line.
Kwa upande wa isco ni kama neymar, huwezi kumtegemea pindi timu inapohitaji ushindi wa nguvu though huwa anasaidia sometimes. Hana consistency katika mechi, hana guarantee ya kuperform katika peak kwa mechi hata 3 mfululizo. Ni rahisi kuwa faded na disspossesed mpira kutokana na kupenda show games na kucheza na majukwaa. Pia tambua kuna kuna factor kama wachezaji naturaly hawana uwezo wa kumaliza dakika 90, kuwamotivate wachezaji wa benchi kwa kuwapa playtime n.k. Hivi vyote kocha (ambaye kwa usahihi ni team mannager anatakiwa ayabalance katika timu )
Halikadhalika kuna game changers, hawa wanafanya lolote wakati wowote na huwezi thubutu kuwaweka benchi pindi ushindi unapohitajika kwa nguvu ( Nazungumzia messi, Cr7, Robben, Bale, suarez, rooney, tevez, zlatan nk )huwezi kuthubutu kuwaweka benchi au kuwafanyia sub hao watu provided wapo fit.