Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Katemaaaaaaaaaaaaaaa, Daaaaaaaaaaaaaaaaaah!!!!!!!!! Asalaleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
Rayo piga haoooooooooo, pigaaaaaaaaaaaa. Daaaaaaaaaaaaaaaaaaah!!!!!!
 
Bale + James ndani ya jezi za Madrid uwanjani, ni sawa na mchezaji mmoja na nusu. Sijui kwanini Carlo haioni hii

Bale, Marcelo, wanaizingua timu. Bale anatoa pasi ambazo hazina kichwa wala miguu. Marcelo naye anapoteza mpira balaa. Thanks to Iker tungekuwa tunaongea mingine sasa hivi. Poor first half indeed..!
 
Bale, Marcelo, wanaizingua timu. Bale anatoa pasi ambazo hazina kichwa wala miguu. Marcelo naye anapoteza mpira balaa. Thanks to Iker tungekuwa tunaongea mingine sasa hivi. Poor first half indeed..!
Acha tu, na usingizi umekata kwa hasira. Carlo ni thick minded bila ubishi, jamaa huwa hajifunzi kabisa
 
Wazee tumeshikwa, Si utani. Niko mwenyewe ila naona aibu watoto wanavyotumiliki.

Casillas, Ramos na Varane ndio waliofanya mpaka half time iwe bila bila, midfielder zimekamatwa kisawasawa.
 
Ronaldo unastahili kadi, huwezi kuomba Penalty kizembe vile. Hata Simon Msuva wa Yanga hawezi fanya vile.
 
Ok, it's one of those nights. Brace yourselves fellow blancos. Hala Madrid, and good night.
 
Ronaldo unastahili kadi, huwezi kuomba Penalty kizembe vile. Hata Simon Msuva wa Yanga hawezi fanya vile.

Stop hating so much, kila mtu kaona pale, sasa Ronaldo kaomba pelnaty kivipi pale?
 
unayejua mpira niambie ile kadi ni ya nini?

Refa ametoa kadi akiwa mbali, kwa mtazamo wake Ronaldo ali-dive. Ndio maana imerudiwa mara tatu kuonyesha kama kilichojiri pale. Refaree ni binadamu kwenye soka ile inatokea mara nyingi tu. kukosea ni kawaida, wewe unatakiwa uwe shabiki wa sports , achana na hayo mambo, otherwise kashabikie Simba na Yanga kule ndio kuna mpira wa ubishani hata kama vitu vipo clear kabisa.
 
Refa ametoa kadi akiwa mbali, kwa mtazamo wake Ronaldo ali-dive. Ndio maana imerudiwa mara tatu kuonyesha kama kilichojiri pale. Refaree ni binadamu kwenye soka ile inatokea mara nyingi tu. kukosea ni kawaida, wewe unatakiwa uwe shabiki wa sports , achana na hayo mambo, otherwise kashabikie Simba na Yanga kule ndio kuna mpira wa ubishani hata kama vitu vipo clear kabisa.

sio niwe ila tuwe, Ronaldo kajidondosha kabisa na ipo clear kabisa. Tuendelee kucheck Game, adui yako muombee majanga ktk mpira.
 
Ngoja nfanye mambo yangu, Game ishaisha hii. Stupid!!!!!
 
Back
Top Bottom