Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Wale watakuja kupigilia msumari wa mwisho tu.

Unasemaje kuhusu Malaga leo? Mechi ya first round tuliwafunga basi tu, mi mwenyewe nilikuwa naomba mpira uishe. Halafu tuna mechi nyingine na Sevilla yaani we acha tu.
 

Cristiano, Modrić, Ramos and Carvajal are all one yellow short of suspension for the next game against Celta (Away game).
 
Unasemaje kuhusu Malaga leo? Mechi ya first round tuliwafunga basi tu, mi mwenyewe nilikuwa naomba mpira uishe. Halafu tuna mechi nyingine na Sevilla yaani we acha tu.
Hawa Malaga mi hawanitishi, it's a matter of how many we are going to score, and how harder it will be. Ila tunashinda.

Sevilla na Valencia ndio tumbo joto, bota hata tucheze na Barca badala ya hao watu.
 
Hawa Malaga mi hawanitishi, it's a matter of how many we are going to score, and how harder it will be. Ila tunashinda.

Sevilla na Valencia ndio tumbo joto, bota hata tucheze na Barca badala ya hao watu.

Sawasawa, beki zenyewe za Barca stoper Gerard Pique, si umeona alivyotoa penalty leo. Halafu game zote za Barca mi huwa na confidence kabisa, lakini Valencea wakicheza na Real unakuwaga mziki mnene si mchezo, na vile kila mtu ashamsoma Ancelotti we subiri tu.
 
Barca wana timu ya kawaida saivi, ile front 3 yao tu ndio imewazidi wale wanariadha wetu + Benzo mpira, ila viungo na defence wanatusubiri, hata hater wetu mkubwa Mr Cruyff anakiri hilo. Halafu na hiyo ban ya kusajili waliyopigwa watasanda tu
 
Barca wana timu ya kawaida saivi, ile front 3 yao tu ndio imewazidi wale wanariadha wetu + Benzo mpira, ila viungo na defence wanatusubiri, hata hater wetu mkubwa Mr Cruyff anakiri hilo. Halafu na hiyo ban ya kusajili waliyopigwa watasanda tu

Ban yao inaisha next january, ila tusiombe sisi tupigwe ban na forward yetu ile, maana FIFA bado wanafanya uchunguzi. Mi nasikia wanasaini madefender tu, hivi kweli hawajui tunataka nini pale mbele?
 

Real Madrid vs Malaga: Arrival at Santiago Bernabéu (18-04-2015)




 
Ban yao inaisha next january, ila tusiombe sisi tupigwe ban na forward yetu ile, maana FIFA bado wanafanya uchunguzi. Mi nasikia wanasaini madefender tu, hivi kweli hawajui tunataka nini pale mbele?
Si wanajifanya jeuri, ila tuna kina Asensio pia, Denis akirudi we can manage. Shida ni coach tu, Carlolina anazingua na hawa wanariadha wake.

Binafsi naombea ban, tutulie angalau, kila msimu kubadilisha timu sio issue. Tuna potentially the best team duniani kwa sasa, hatuja-deliver tu.
 
Varane is given a rest as he is not even on the bench tonight. Looking more likely to start on Wednesday.
 


Ujamsikia Carlo anasema next season atakuwepo.
 
Huyu Gerry Armstrong angekuwa anahusika tu games za timu yake, Barca.
 
Madrid kufungwa kwenye set pieces ni kama Beyonce kukaa uchi, kawaida sana. Hapa nikiwafikiria Atleti ni stress tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…