Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka apaaaaaNa vyote vinakuadama labda man u ndio kakulegezea kidogo, Ila umaskini, shetani na madrid havikuachi salama
Kweli haujui mpira au hua haungalii mpira, kaangalie Man utd ilifungwa goli 4 Onana kafanya saves ngapi
Jikaze brooo😃😃😃😃😃Naichukia sana Real Madrid siku ikishuka daraja nitafanya sherehe
Una wingi wa hormones za kikeDah umeanza na kumsifu onana? wapenzi wa Man Utd wanaweza kukutia kibao mbele yao
Timu inashinda kwa kuhonga marefa ni lazima mashabiki nao wapoteane.Real wako dimbani saa hizi lakini naona watu hamna mzuka kabisa, naona mshamaliza msimu mnasubiri fainali za Champions league tu
Saa hizi tunawapigia Dortmund hesabu tu., yaani ninaangalia game huku ninafanya mishe zangu., sina hata wasi wasiReal wako dimbani saa hizi lakini naona watu hamna mzuka kabisa, mshamaliza msimu mnasubiri fainali za Champions league tu
Saa hizi tunawapigia Dortmund hesabu tu., yaani ninaangalia game huku ninafanya mishe zangu., sina hata wasi wasi
Don Carlo leo katoa minutes tu, we unaona anampa Luca 90 minutes, maana mkongwe msimu huu kasugua bench kimtindo4-1-2-3 nahisi ndio itakuwa formation yetu ya mwakani naona don carlo kaijaribu leo hii
Attacking force
Hata sio siasa man, Carlo hawezi kum-risk mtu aliyekaa bench karibia msimu mzima, anahitaji muda ili arudi katika hali yake, angalia hata Militão makosa anayoyafanya., ndio maana hata mwenyewe ameamua asicheze game za Euro ili apate muda mzuri wa kuendelea na program yake, ili msimu ukianza awe fit.Japokuwa Lunin tumekuwa nae katika hatua za mtoano,ila ukwel ni kuwa magoli anayofungwa yanakatisha tamaa sana kwa sababu yanafanana.
Natamani sana kumuona Thibo akisimama siku ya fainal,japokuwa naona siasa ya wakongwe inaingialia maamuzi ya benchi la ufundi.
Na huwa ni kati ya Football club anthem yenye vibe sana.Hakuna song tamu kama lile "Hala Madrid" , lile likipigwa vinyweleo lazima viitike.
Hala Madrid.