Usipandishe sukari bila sababu yoyote ,endelea kufurahia madrid yako.IQ yangu wewe itakusaidia nini? Acha ubwege, banters kwenye football kitu cha kawaida.
Sawa basi, Guadiola ataifunga Real Madrid, are you happy now?
Nasikia amegoma.
Now Perez ana-focus kwa Reece James wa Chelsea kama mbadala.
James hapana Kama wanataka kuongeza MTU Kule kulia Bora TAA au waende pale Kwa Alonso Levakusen kuna wingback za maana pale.
Cancelo mtu wa maana sana anapiga kushoto na kulia bila tatizo lolote shida yake nidhamu tukwanini wasende na Cancelo? city wanataka 35 - 40 tu. akipata utulivu jamaa ni hatari sana
Cancelo mtu wa maana sana anapiga kushoto na kulia bila tatizo lolote shida yake nidhamu tu
Ni sahihi piakwanini wasende na Cancelo? city wanataka 35 - 40 tu. akipata utulivu jamaa ni hatari sana
Theo pia yupo hapo Milan kazi anaijua sanakwanini wasende na Cancelo? city wanataka 35 - 40 tu. akipata utulivu jamaa ni hatari sana
Hakim psg pale anshangaa Tu 😆Theo pia yupo hapo Milan kazi anaijua sana
BBC walitupa 1 Spanish Super Cup, 3 UEFA Super Cups, 3 FIFA Club World Cups , 1 La Liga Trophy and 4 Champions League trophies.
Theo pia yupo hapo Milan kazi anaijua sana
Hakim psg pale anshangaa Tu 😆
Hakim na Theo wote walikuwa vijana wetu, Hakimi ndio kabisa zao letu, ila sasa hawa wote waliuzwa kwa ajili ya kuwalinda Marcelo na Carvajal kipindi kile., Theo hawezi kurudi ila Hakimi anaweza.Hakim psg pale anshangaa Tu 😆
Basi watuletee Demarco wa Inter MilanHakim na Theo wote walikuwa vijana wetu, Hakimi ndio kabisa zao letu, ila sasa hawa wote waliuzwa kwa ajili ya kuwalinda Marcelo na Carvajal kipindi kile., Theo hawezi kurudi ila Hakimi anaweza.
Basi watuletee Demarco wa Inter Milan
Hivi mkuu mbona Perez hua mjanja sana kwenye biashara hasa kwenye kuwatoa Wachezaji Kwa mkopo au kuwauza.Hakim na Theo wote walikuwa vijana wetu, Hakimi ndio kabisa zao letu, ila sasa hawa wote waliuzwa kwa ajili ya kuwalinda Marcelo na Carvajal kipindi kile., Theo hawezi kurudi ila Hakimi anaweza.
Hawa walienda na wakarudi wote, ila sasa kwa upande wa Odegaard mambo hayakuenda sawia na matarajio yake ndio akaomba kuuzwa, Perez akamuuza mazima halafu tukaenda kumchukua Camavinga.Hivi mkuu mbona Perez hua mjanja sana kwenye biashara hasa kwenye kuwatoa Wachezaji Kwa mkopo au kuwauza.
Ila nashangaa Kwa Martin Odegaard ilikuaje kaenda Arsenal moja Kwa moja huku Dani Ceballos akirudi.
Hivi mkuu mbona Perez hua mjanja sana kwenye biashara hasa kwenye kuwatoa Wachezaji Kwa mkopo au kuwauza.
Ila nashangaa Kwa Martin Odegaard ilikuaje kaenda Arsenal moja Kwa moja huku Dani Ceballos akirudi.
Huyu jamaa baada ya ucl final nilijuwa utaenda mazima. Umerudi tena????Injury free Pedri is 10x better than Jude Tappingham