Superficial
JF-Expert Member
- Nov 25, 2023
- 232
- 471
Afu timu ambazo zinakuja kuwafunga hao wakamiaji ni za kawaida sana,we tulia uone game ijayo Stuttgart atakavyokalishwaKumbuka tuna majeruhi wengi bro. Afu nimegundua kitu opponents wetu wanakamia mno.
Afu timu ambazo zinakuja kuwafunga hao wakamiaji ni za kawaida sana,we tulia uone game ijayo Stuttgart atakavyokalishwa
Ndo maana nikasema opponents wetu wanatukamia sana sisiAfu timu ambazo zinakuja kuwafunga hao wakamiaji ni za kawaida sana,we tulia uone game ijayo Stuttgart atakavyokalishwa
Yeah, jana vijana walijitahidi, bado hawajfikia kiwango cha kuwapongeza, ila ninaona kuna jitihada., akirudi Camavinga labda team itachukua sura mpya, ila kwasasa wanaendelea kuimarika.Jana kwa mara ya kwanza msimu huu nimeona timu imeanza kuwa serious naona kunadogo mpya ambae ni tishio sana Endrick aisee ni kama yule wa Barca(New superstar). Akitunzwa hakika watakula matunda yake.
Hawatoipenda hiiEl jugador mejor del mundo es vinicius junior. Baila Vini baila masView attachment 3105512
Watu wanaumia kinyama mwamba kushinda bdorHawatoipenda hii