Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 337
- 753
Dogo ana miaka 17 ila ana Ego balaa ,Don kashindwa kumaliza game leo halafu anapaswa kukaa chini azungumze na huyu endrick asitafute jina kwa lazima.
Kabisa kama ile nafasi ambayo aliamua kupiga mwenyewe ule ni upuuzi wakati jude alikuwa kafungua upande wa kushoto, hata siku ya kwanza aliposhinda kwenye hali kama ile nilifurahia goli lakini sikufurahia ule uamuzi maana tayari wengine walikuwa wamefungua pande zote lakini akaamua kufanya vile na kwa upande wa game ya jana ilikuwa ni game ya maamuzi akarudia tena vilevile.Dogo ana miaka 17 ila ana Ego balaa ,
Bellingham, Vinicious Jr, Mbape na Endrick Hawa wachezaji Anceloti kazi anayo maana Kila mmoja anapenda sifa
Kabisa kama ile nafasi ambayo aliamua kupiga mwenyewe ule ni upuuzi wakati jude alikuwa kafungua upande wa kushoto, hata siku ya kwanza aliposhinda kwenye hali kama ile nilifurahia goli lakini sikufurahia ule uamuzi maana tayari wengine walikuwa wamefungua pande zote lakini akaamua kufanya vile na kwa upande wa game ya jana ilikuwa ni game ya maamuzi akarudia tena vilevile.
Wanalewa sifa hawa msimu huu kazi inaweza kuwa ngumu aisee.
Yule dogo hamna kitu atolewe Kwa mkopo ,Kabisa kama ile nafasi ambayo aliamua kupiga mwenyewe ule ni upuuzi wakati jude alikuwa kafungua upande wa kushoto, hata siku ya kwanza aliposhinda kwenye hali kama ile nilifurahia goli lakini sikufurahia ule uamuzi maana tayari wengine walikuwa wamefungua pande zote lakini akaamua kufanya vile na kwa upande wa game ya jana ilikuwa ni game ya maamuzi akarudia tena vilevile.
Wanalewa sifa hawa msimu huu kazi inaweza kuwa ngumu aisee.
Mambo yanapaswa kwenda hatua kwa hatua lakini huyu ni kama vile anataka kutuaminisha haraka kuwa yeye ni bora.Dogo haijui Santiago Bernabéu, na vile alivyo wa kulialia, asipoangalia atalia sana
Tunahitaji kupata beki wa kati mwingine mkuu.Militao ni mzuri kwenye aerial Ila kwenye race huwa anaachwa Sana , Jana goli kachoma mwenyewe Kwa kujisahau
Hata, lile goli alichoma Rudiger, yeye ndio aliyekuwa eneo sahihi, ingekuwa rahisi sana kublock ule mpira, ila yeye akacheza offside trick ambayo haikusaidia., Militão alikuwa juu kidogo.Militao ni mzuri kwenye aerial Ila kwenye race huwa anaachwa Sana , Jana goli kachoma mwenyewe Kwa kujisahau
Atatulia tu wakati ukifika, hakuna mchezaji mpya ameenda mahali asijaribu kujitutumua., ni kawaida sana, ndio maana Ancelloti anampatia hizo dakika tano tano kwa game, kwasababu anajua akimpa nyingi ni either aumie ama apotee kabisa endapo atashidnwa kufikia malengo.Mambo yanapaswa kwenda hatua kwa hatua lakini huyu ni kama vile anataka kutuaminisha haraka kuwa yeye ni bora.
Na Ego ndo itawatoa mapema kaziniDogo ana miaka 17 ila ana Ego balaa ,
Bellingham, Vinicious Jr, Mbape na Endrick Hawa wachezaji Anceloti kazi anayo maana Kila mmoja anapenda sifa
Don kashindwa kumaliza game leo halafu anapaswa kukaa chini azungumze na huyu endrick asitafute jina kwa lazima.
Kabisa kama ile nafasi ambayo aliamua kupiga mwenyewe ule ni upuuzi wakati jude alikuwa kafungua upande wa kushoto, hata siku ya kwanza aliposhinda kwenye hali kama ile nilifurahia goli lakini sikufurahia ule uamuzi maana tayari wengine walikuwa wamefungua pande zote lakini akaamua kufanya vile na kwa upande wa game ya jana ilikuwa ni game ya maamuzi akarudia tena vilevile.
Wanalewa sifa hawa msimu huu kazi inaweza kuwa ngumu aisee.
Hata, lile goli alichoma Rudiger, yeye ndio aliyekuwa eneo sahihi, ingekuwa rahisi sana kublock ule mpira, ila yeye akacheza offside trick ambayo haikusaidia., Militão alikuwa juu kidogo.