Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

NAwachukia sana nyie kenge.Wakitoka Ccm, shetani na polisi wa tz mnafata nyie kwa kuwachukia.
Kaka upo kama mimi hawa mbwa siwapendi mnoo, msimu huu wasipoambulia kombe lolote nafanya tafrija fupi hapa nyumbani Kwangu,

Na nitaarika watu nawaambia nasherehekea Uzima na afya njema ila moyoni nitakuwa najua ukweli wa nachosherehekea.
 
Toka yule Chizi Ramos alivyotaka kumnyofoa mkono MoSalah hii timu nimetokea kuichukia mnooo
 
GOAL! Valverde finds the bottom-left corner courtesy! Real Madrid 1-0 Villarreal
1728195195678.gif
 
Game imeisha tumeua...

Urejeo wa Camavinga unaleta tija pale kati kati.
Nilifanikiwa kuangalia kipindi cha kwanza tu jana., kidogo vijana wanaonyesha jitihada., ni kama wanajua walipokwama, so kila mtu anajitahidi ili kumpunguzia Kocha lawama., ila kuna ishu bado inaendelea., tukiwa tunashambulia tunakuwa sana wachache mbele, ama wanachelewa kwenda mbele wakati wa kushambulia, itabidi Mwalimu alifanyie kazi hili suala.
Camavinga kama akiendelea hivi tutakuwa tumepunguza tatizo kwenye eneo la kati., ninapenda anavyopokea mipira na kuitoa.,ile ndio kiungo anatakiwa kufanya, sio mtu ana pokea mpira hata hawezi kugeuka nao., kitendo cha kuweza kugeuka inasaidia sana team kufunguka.
 
Siku hizo hatuna game rahis yaan kila game kwetu ningumu asee!!
Mimi ninaona Ancelloti ndio anayezungua, huwa ni muoga sana kufanya mabadiliko., jana tulikuwa na viungo Wanne uwanjani ila jamaa walishika dimba, shida ni kuwa hao viungo wote watatu wana uchezaji unaofanana., Modric na Ceballos walivyoingia ndio game ilibadilika, niliona tunacheza mpira mzuri tu unaoeleweka.
Kama atakuja Kocha mwingine msimu ujao ni lazima afumue midfield yetu.
 
Mimi ninaona Ancelloti ndio anayezungua, huwa ni muoga sana kufanya mabadiliko., jana tulikuwa na viungo Wanne uwanjani ila jamaa walishika dimba, shida ni kuwa hao viungo wote watatu wana uchezaji unaofanana., Modric na Ceballos walivyoingia ndio game ilibadilika, niliona tunacheza mpira mzuri tu unaoeleweka.
Kama atakuja Kocha mwingine msimu ujao ni lazima afumue midfield yetu.

Ton kroos na Modric walikuwa wanarahisisha sana game kutokana na brain yao hawa watu naona itakuwa ngumu sana kupata replacement yao
 
Ton kroos na Modric walikuwa wanarahisisha sana game kutokana na brain yao hawa watu naona itakuwa ngumu sana kupata replacement yao
Ni kweli kabisa, ila wakati wao umepita hatuna budi kukubali hilo, kinachotakiwa sasa ni Mwalimu aumize kichwa ni namna gani atawapanga vijana waliopo tupate matokeo chanya.
Ila kwa namna vijana walivyokuwa wanacheza hana haswa kipindi cha kwanza, kiukweli bado sana, kwasababu hata kwenye safu ya usashambukiaji kila mtu anacheza kivyake., mbaya zaidi sasa tukienda kushambulia unakuta una wachezaji wawili ama watatu tu mbele, sasa sijui shida ipo wapi kiukweli., na maelekezo ya Mwalimu ama ni vijana tu wamekuwa wazito.
 
Mimi ninaona Ancelloti ndio anayezungua, huwa ni muoga sana kufanya mabadiliko., jana tulikuwa na viungo Wanne uwanjani ila jamaa walishika dimba, shida ni kuwa hao viungo wote watatu wana uchezaji unaofanana., Modric na Ceballos walivyoingia ndio game ilibadilika, niliona tunacheza mpira mzuri tu unaoeleweka.
Kama atakuja Kocha mwingine msimu ujao ni lazima afumue midfield a viungo Wanne sawa ila alibadili mfumo..

Alicheza
Mimi ninaona Ancelloti ndio anayezungua, huwa ni muoga sana kufanya mabadiliko., jana tulikuwa na viungo Wanne uwanjani ila jamaa walishika dimba, shida ni kuwa hao viungo wote watatu wana uchezaji unaofanana., Modric na Ceballos walivyoingia ndio game ilibadilika, niliona tunacheza mpira mzuri tu unaoeleweka.
Kama atakuja Kocha mwingine msimu ujao ni lazima afumue midfield yetu.
Mwanzo tulikua na viungo wanne wa sifa moja ila majukumu yao yalikua tofauti.

Kipindi cha kwanza Madrid walicheza mfumo wa 3-4-2-1.

Yaani Camavinga na Federico Valverde walisimma kati kati kama 6 na 8.

Miltao alibana kulia huku Vasquez akisogea Eneo la kiungo.

Rudiga alibana kushoto huku Garcia nae akipanda Eneo la kiungo.

Beki ya kati alisimama Aurelian Tchouameni.

Attacking midfielders walisimaa Vini na Jude.

Foward akasimama mbappe.

Lengo lilikua ni kuushika mchezo na kwa Plan hii ilikua nzuri sema haikulipa kwa sababu kuna maeneo waliwekwa watu sio sahihi.

Ndiomana Kipindi cha pili Carlo hakubadili tu wachezaji Bali na mfumo mzima wa uchezaji wa timu kwa ujumla.

Mimi sipendezwi na kuchelewa kwake kufanya mabadiliko tu wakati mapema tu timu inashikwa na Anaona kabisa mchezaji flan kapwaya ila anaacha tu.

Mfano Hii Mechi Federico Valverde alipaswa kupunzika kusubiri El classico kijana katumika sana
 
Back
Top Bottom