Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Kwahiyo Sheria zinafnya watu wakabane Kama wanacheza pool table.Football siku hizi ni fair game, sheria zinaongezwa kila siku. Hakuna kuvunjana miguu kama enzi wakina Maradona.
Hiyo unayoiona inakimbia hapo uwanjani ni hundreds of millions Euro, sasa wewe uje tu umrikie umvunje hivi hivi, unafanya masihara nini!