Hawawezi kulalaNaona mnavyo teseka mnajaribu kulala usingizi unagoma kenge nyie. Timu lenu bovu kazi kununua mechi tu. Tunataarifa kuwa tayari perez kashanunua Baloondor. Wala haitutishi. Karibuni sana Anfield niwagonge kipigo cha moto kenge nyie nawachukia sana nyie nawachukia mno
Akitoka shetani, umasikini na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia.
Watafungia wapi?Nyie mbuzi yani jana hata goli 1 mmeshindwa toa
ICarlo hawezi kukwepa lawama zangu hata kama Barcelona wamecheza vizuri.
Kwanza kumchezesha Federico Valverde mechi mfululizo ikiwa anajua kuna game kubwa mbele na anahitajika kua fit.
Pili game Approach yake imekua ile ile habadiliki wala habadilishi wachezaji kwa wakati.
Anamtoa viungo wakabaji wote anawaacha kina Jude na mbappe wanaruka ruka.
Hii timu bora Apewe kijana au mtu mwenye misimamo kama Conte.
Kimsingi eneo la beki haswa za kati ni hovyo sana.
Timu nzima inategemea perfomance ya mchezaji mmoja mmoja ili bao lipatikane na Si mipango..Carlo game plan yake ya first half ilikuwa bora kabisa, Timu ilitakiwa iondoke na goli alau 2 kabla ya half time, Mbappe, vini, Jude wamepoteza nafasi nyingi za wazi kabisa.
La pili defense ya timu ni dhaifu sana, Perez amekuwa mkaidi sana kusajili defenders, kushoto kubovu, kulia kobuvu kati hapafai.
Yaani wewe kama mimi, lakini tofauti mimi kwanza Real halafu shetani.... jana adabu wamepata kimyaaaaa.Nyie maandazi kweli
vasques garasa
Rudiger garasa
Militao 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hata Kitayoma fc hapati namba.
Tchouameni eti ndio mido
Kule mbele yamejaa magarasa tupu na leo angekuwepo yule garasa mwingine Rodrigo kipigo kingefika 7. Kenge nyie.
Naichukia Madrid. Ikitoka Shetani, Umasikini na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia.
Ndio kwanza anavunja ungo.......
Mbape na Vini wanacheza position moja sasa kuwekwa katikati inabidi tu lakini maisha yake yote toka Monaco anatokea kushoto sio kati. Shida ni lazima wote wacheze. Itabidi wazoee tu. Alichofanya Barca leo ndio Dortmund alitakiwa kufanya kushambulia tu sio kukaa nyuma. Real ukiwashambulia kwishneiiiiiCarlo game plan yake ya first half ilikuwa bora kabisa, Timu ilitakiwa iondoke na goli alau 2 kabla ya half time, Mbappe, vini, Jude wamepoteza nafasi nyingi za wazi kabisa.
La pili defense ya timu ni dhaifu sana, Perez amekuwa mkaidi sana kusajili defenders, kushoto kubovu, kulia kobuvu kati hapafai.
Timu nzima inategemea perfomance ya mchezaji mmoja mmoja ili bao lipatikane na Si mipango..
Kwasasa kocha wetu haongezi kitu kwa wachezaji Bali anaishi kwenye historia yaani anarudia vitu katika ufundishaji.
Ili uamini hilo Chini ya kocha huyu Madrid ina vijana wadogo wengi tu ila mzee hua hawapangi anaishia kuwatoa kwa mkopo wengine kukaa benchi.
Kwa sababu anahofia juu ya uwezo wao kumbeba inamaana yeye anaamini kwenye uwezo wa wachezaji wakubwa kumbeba.
Nishasema hii timu haina muunganiko na kama kucheza vile ndio maagizo ya kocha basi mzee kachoka..
Just imagine Flick Angekua Madrid na Carlo Angekua Barcelona ingekuaje matokeo?
Brazili ipo na kina nani ambao ni bora nafasi zao hata kwenye vilabu vyao?hao mchezaji mmoja mmoja mbona nje ya pale madrid hatuoni kitu mkuu? Umemuona vini akiwa Brazil?
Brazili ipo na kina nani ambao ni bora nafasi zao hata kwenye vilabu vyao?
Unataka vin Adake, awe beki, awe kiungo na ashambulie?
Rafinha mmwenyeweni mbrazili hua anafanya nini akiwa kule?
Nachomaanisha Real Madrid inamkusanyiko wa wachezaji wengi wazuri..
Brazil haina hiyo kitu..