Madrid jau sasa duuhZile 4 ninaona zinajirudia tena
Game dhidi ya Barcelona huwa zinamchanganya sana Ancelloti, huwezi kuelewa malengo yake ni yapi kutokana na aina mpira vijana wanaouchezaSijaelewa kwanini tunacheza mipira mirefu wakati tuna midfilders na washambuliaji wazuri wa kumiliki mpira.
Tayari tushakula chuma 4, fainal mbovu sana hii.Zile 4 ninaona zinajirudia tena
Sijaelewa kwanini tunacheza mipira mirefu wakati tuna midfilders na washambuliaji wazuri wa kumiliki mpira.
Tayar.Zile 4 ninaona zinajirudia tena
Anachukua Uefa kama kawaida yake😃Mzee katupa mafanikio makubwa tunamheshimu ila alipofikia yeye ni Kama Mbowe tu, apumzike kutunza heshima yake tu
Tuna wachezaji wa kufanya hilo jambo, shida ya Ancelloti amekuwa muoga sana akiwa anacheza dhidi ya Barcelona, sasa vijana wanadhurura tu uwanjani, hawashambulii wala hawakabi wala hawamiliki mpira, so unaweza kuona jinsi tulivyovurugwa.Tayar.
Msimu huu Madrid ni kama vile ameshindwa kabisa mbinu ya kumfunga Barca
Kwa aina ya midfielder tulionao na Mabeki hatuwawezi huo ndo ukweliTayar.
Msimu huu Madrid ni kama vile ameshindwa kabisa mbinu ya kumfunga Barca