Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,502
- 6,049
Vinicius Jr amepewa red card., utoto tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo shid tupuVinicius Jr amepewa red card., utoto tu
Huyu jamaa anazingua sana.Vinicius Jr amepewa red card., utoto tu
Huyu mtoto ni ujinga sana unamtawala,inabidi mechi dhidi ya Valencia asiwe anapangwa kwa sababu toka msimu uliopita alikuwa hachezi na badala yake anavurugana nao.Vinicius Jr amepewa red card., utoto tu
Huyu mtoto ni ujinga sana unamtawala,inabidi mechi dhidi ya Valencia asiwe anapangwa kwa sababu toka msimu uliopita alikuwa hachezi na badala yake anavurugana nao.yy
Tunahitaji full backs wa 2, kama TAA na A.DAVIES wakija itakuwa vizuri sana. Then tupate defensive midf. Mmoja wa kuongeza nguvu katikati...
Hapo mpk Dm mmoja auzweTunahitaji full backs wa 2, kama TAA na A.DAVIES wakija itakuwa vizuri sana. Then tupate defensive midf. Mmoja wa kuongeza nguvu katikati...
Tunahitaji full backs wa 2, kama TAA na A.DAVIES wakija itakuwa vizuri sana. Then tupate defensive midf. Mmoja wa kuongeza nguvu katikati...
Vin Jr anashindwa kuhimili vitu vidogo. Ila naamini atawekwa sawa kama Cr7 alivyokuwa.Vinicius Jr amepewa red card., utoto tu