Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Tonight line-up against Rayo Vallecano.

1000059483.jpg
 
Haikuwa rahisi, baada ya kuwa nyuma kwa goli mbili vijana wamepambana mpka wamerudi mchezoni, tumefungwa kutokana na makosa ya kiulinzi., Marcia na mwezie Vazquez wamekuwa sio watu wa kuaminika kwenye ulinzi, kiukweli kwenye upande wa full backs tuna upungufu mkubwa tu, acha tuone kama January litafanyika jambo.
 
Tumekaa bao mbili kwa Rayo kama sio.Real Madrid. Nafikiri hii tu haiko serious kabisa.
Marcia aligeuzwa kama mtoto mdogo, huku Vazquez anashangaa watu wapiga vichwa, ajabu sana.
Ni vizuri tumeweza kusawazisha.,
Sijui ni maelekezo ya Mwalimu, Rodrygo alikuwa anacheza kama mtu wa mwisho akisubiri juu mipira iende ila hakuwa anapata mipira, ila baada ya kufungwa nimeona anashuka chini kupandisha mashambulizi, kiukweli amekuwa na impact kubwa sana, ni bora akaendelea kutokea hivi hivi huku chini.
 
Haikuwa rahisi, baada ya kuwa nyuma kwa goli mbili vijana wamepambana mpka wamerudi mchezoni, tumefungwa kutokana na makosa ya kiulinzi., Marcia na mwezie Vazquez wamekuwa sio watu wa kuaminika kwenye ulinzi, kiukweli kwenye upande wa full backs tuna upungufu mkubwa tu, acha tuone kama January litafanyika jambo.

Vazquez wa msimu huu sio yule tuliemzoea, hayuko sawa kwenye marking huu ni wakati wa kutafuta full back ya kweli
 
Acheni lawama zenu za 'kiduwanzi'

Mbona tukishinda game haya mapungufu hamyasemi

Sio lawama mkuu, tukubali tu wachezaji kuna muda viwango vinashuka. Kama una kumbukumbu vizuri wakongwe wa golden era waliobaki ni Vazquez, Modric na Carvajal.
Hakuna tunachowadai, lakini Vazquez na Modric speed imepungua. Jukumu la kucheza fullback kwenye timu yenye long season kama Real Madrid lazima uwe solid
 
Acheni lawama zenu za 'kiduwanzi'

Mbona tukishinda game haya mapungufu hamyasemi
Lawana gani man, tuna mapungufu kwenye full backs msimu huu, si Fran Garcia wala Lucas Vazquez anayecheza vizuri., tumefungwa goli tatu zote ni mapungufu ya kiulinzi, ulitaka mtu atoe magnificent gani?
Tumekuwa na hii shida tangia msimu unaanza., so sio jambo jipya.
 
Back
Top Bottom