Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Huyu Mbappe magoli anayokosa ni 99% ya nafasi anazopata,inatakiwa afanye mazoezi sana yakutumia nafasi..
Nindhani alipania sana kuwakera PSG, bahati mbaya mambo hayajaenda alivyotaka., kilichobaki ni atulize kichwa tu sasa,afanya mazoezi kadri anavyoweza.
Kuna sehemu nimeona kuwa Club imemcheck Zidane ili afanye mazungumzo na kijana,
 
Nindhani alipania sana kuwakera PSG, bahati mbaya mambo hayajaenda alivyotaka., kilichobaki ni atulize kichwa tu sasa,afanya mazoezi kadri anavyoweza.
Kuna sehemu nimeona kuwa Club imemcheck Zidane ili afanye mazungumzo na kijana,
Hiyo itakuwa safi sana...maana kwa kwel anatucost na anakuwa na haraka na maamuzi sana,hana utulivu eneo la mwisho.
 
Mbappe apunguze papara kila kitu kitaenda sawa, Ceballos ni staring material lazima aanze sijali nani atakaa bench. analeta kitu bora kuliko wengine wote ndani ya midfield.
 
Ndugu zetu wa Catalonia huu moto waliopelekewa first half sio poa [emoji3][emoji3][emoji3]
 
1733338228648.png
 
So far Bilbao wamecheza vizuri kuliko sisi, tuna shida kwenye kaunda mashambulizi ya maana, kwenye kiungo Ceballos ameendelea kucheza vizuri shida ni kaunda hiyo play akiwa na ndugu zake Valverde na Tchouameni.
Bellingham ninadhani hajui anachitakiwa kufanya uwanjani, huyo Mbappé ndio kabisaa.
Acha tuone kipindi cha pili watarudi vp.
 
Sijui Ancelotti atajifunza lini, tuna mpigaji mzuri tu kwa Bellingham, bado anampa Mbappé nafasi ya kupiga, shida ni nini?
Game ya pili hii ya kuamua matokeo huyu jamaa anatuuza tena.
 
Sijui Ancelotti atajifunza lini, tuna mpigaji mzuri tu kwa Bellingham, bado anampa Mbappé nafasi ya kupiga, shida ni nini?
Game ya pili hii ya kuamua matokeo huyu jamaa anatuuza tena.

Mbappe ni ya kuuza bure. Hajui and I can guarantee hatokuja kuwa a top tier player. Huyu ni Hazard 2.0. Ni muda Carlo aanze kumuweka bench anaigharimu timu.
 
Hii game Ancelotti ametuhujumu kiukweli, makosa binafsi yametugahrimu yeah,ila Coach ana upumbavu wake mwingi kwenye hizi game., sijui kama tutakuja kubadilika kiukweli.,
 
Hii team bana, Valverde ametuchoma, sijui hata ni nani mwenye afadhali.
Too much back passes huwa inasababisha mchezaji kukosea , kosa ni game plan Kwa manager , ukweli ni kuwa kocha anatakiwa afukuzwe kazi , timu inabaki Sana nyuma , hii inafanya wapinzani wabane space zote , adar guler ana uwezo wa dribbling lakini kocha still anacomand back passes , Kati Kati hamna creativity, issue ya mbappe ni kutokana na vipengele vya mkataba ndo mana anacheza Hadi mwisho ila mwamba ni mzigo
 
Nyie kenge hivi mna akili kweli???? Mnata ubingwa kwa kumtegemea mbappe na vinishazi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hamna timu nyie eti beki rudiger
 
Back
Top Bottom