Aiylan wasalan
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 730
- 1,478
Hamna ndugu yangu tusidanganyane hii timu msimu huu spana mkononi sanaAnachukua Uefa kama kawaida yake๐
Beki hamna mjue Barcelona wapo fullHamna ndugu yangu tusidanganyane hii timu msimu huu spana mkononi sana
Kwanini tusicheze 4-3-3?mkuu midfield wazuri wakumiliki mpira ni akina nani? Jude na Valverde? huko serious mkuu
Hiyo italazimu Jude atoke aingie ModricKwanini tusicheze 4-3-3?
Hii ya kutupia mipira mbele Mbappe akafunge haiwezi kutulipa.
Kwanini tusicheze 4-3-3?
Hii ya kutupia mipira mbele Mbappe akafunge haiwezi kutulipa.
Hiyo italazimu Jude atoke aingie Modric
Licha ya kuyumba namna hii kwenye ulinzi Perez ni kama kaziba masikio, maana kwa hali tuliyonayo kiulinzi, hatutoboi