Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,352
- 2,160
Skillful player wako top 10 hayumo.acha kumlinganisha Musiala na vitu vya kipuuzi, Jude mpira anatuliza mara mbili mbili unaanzaje kumlinganisha na skillful player kama Musiala?
Jude ni mpira kilimo jembe la mkono Hana talent ya musiala , Pedri,palmer ,mc allister etc kiufupi ni mchezaji wa kucheza Kwa maelekezo ya kocha na mafanikio ya team yanambeba sio yeye kuibeba team,vin na mbape unaiona talent zao binafsi sio Jude ,Madrid kuondoka Kwa ton na Luka kutawafanya wawe kawaida kwenye kiungo unless wasajili viungo wa ku control mechi hakuna hata mmoja ,valvelde,Jude,camavinga hakuna mtu anaye control mechi ndio maana barca watawapiga Tano ,nne,na kuna siku watawapiga saba mpaka nane maana viungo wao wanachezesha team kama vichwa vimekatwa ni kukimbiza kimbia tu hakuna utulivu .acha kumlinganisha Musiala na vitu vya kipuuzi, Jude mpira anatuliza mara mbili mbili unaanzaje kumlinganisha na skillful player kama Musiala?
Ulichoandika sidhani hata kama we nwenyewe umekisoma.Jude ni mpira kilimo jembe la mkono Hana talent ya musiala , Pedri,palmer ,mc allister etc kiufupi ni mchezaji wa kucheza Kwa maelekezo ya kocha na mafanikio ya team yanambeba sio yeye kuibeba team,vin na mbape unaiona talent zao binafsi sio Jude ,Madrid kuondoka Kwa ton na Luka kutawafanya wawe kawaida kwenye kiungo unless wasajili viungo wa ku control mechi hakuna hata mmoja ,valvelde,Jude,camavinga hakuna mtu anaye control mechi ndio maana barca watawapiga Tano ,nne,na kuna siku watawapiga saba mpaka nane maana viungo wao wanachezesha team kama vichwa vimekatwa ni kukimbiza kimbia tu hakuna utulivu .
Jude ni mpira kilimo jembe la mkono Hana talent ya musiala , Pedri,palmer ,mc allister etc kiufupi ni mchezaji wa kucheza Kwa maelekezo ya kocha na mafanikio ya team yanambeba sio yeye kuibeba team,vin na mbape unaiona talent zao binafsi sio Jude ,Madrid kuondoka Kwa ton na Luka kutawafanya wawe kawaida kwenye kiungo unless wasajili viungo wa ku control mechi hakuna hata mmoja ,valvelde,Jude,camavinga hakuna mtu anaye control mechi ndio maana barca watawapiga Tano ,nne,na kuna siku watawapiga saba mpaka nane maana viungo wao wanachezesha team kama vichwa vimekatwa ni kukimbiza kimbia tu hakuna utulivu .
Hali ni Tete Kwa midfield hii Madrid kuvuka playoff ya champions league ni ngumu ,unless mbape,vin na Rodrigo wawe freeCeballos hivi sasa ndio amekuwa ZIdane wao, anawasaidia sana.
Ushindi muhimu leoKikosi chetu, kiungo mkabaji mmoja tu kaanza. Wengine wote ni Attacking.
Mzee kaipania sana hii mechi isije kumpalia.
Sawa sawaUshindi muhimu leo
Nikiwaona lucas,mendy na tchouameni wakianza pamoja nakosa amani kabisa🙌.Kikosi chetu, kiungo mkabaji mmoja tu kaanza. Wengine wote ni Attacking.
Mzee kaipania sana hii mechi isije kumpalia.
Kijana haimbwi sana ila kazi yake inaonekanaz hana makuu.Rodrigo
Sana hana mamb mengKijana haimbwi sana ila kazi yake inaonekanaz hana makuu.
Kwa miaka ya hivi karibuni city wameonekana kuwa na ushindani wanapokutana na madrid huenda hili limekaa kibiashara zaidi.UEFA lazima watakuwa wana lao tu, kwanini kila mwaka mechi hiyo hiyo inajirejea
Kwa miaka ya hivi karibuni city wameonekana kuwa na ushindani wanapokutana na madrid huenda hili limekaa kibiashara zaidi.