Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

acha kumlinganisha Musiala na vitu vya kipuuzi, Jude mpira anatuliza mara mbili mbili unaanzaje kumlinganisha na skillful player kama Musiala?
Jude ni mpira kilimo jembe la mkono Hana talent ya musiala , Pedri,palmer ,mc allister etc kiufupi ni mchezaji wa kucheza Kwa maelekezo ya kocha na mafanikio ya team yanambeba sio yeye kuibeba team,vin na mbape unaiona talent zao binafsi sio Jude ,Madrid kuondoka Kwa ton na Luka kutawafanya wawe kawaida kwenye kiungo unless wasajili viungo wa ku control mechi hakuna hata mmoja ,valvelde,Jude,camavinga hakuna mtu anaye control mechi ndio maana barca watawapiga Tano ,nne,na kuna siku watawapiga saba mpaka nane maana viungo wao wanachezesha team kama vichwa vimekatwa ni kukimbiza kimbia tu hakuna utulivu .
 
Jude ni mpira kilimo jembe la mkono Hana talent ya musiala , Pedri,palmer ,mc allister etc kiufupi ni mchezaji wa kucheza Kwa maelekezo ya kocha na mafanikio ya team yanambeba sio yeye kuibeba team,vin na mbape unaiona talent zao binafsi sio Jude ,Madrid kuondoka Kwa ton na Luka kutawafanya wawe kawaida kwenye kiungo unless wasajili viungo wa ku control mechi hakuna hata mmoja ,valvelde,Jude,camavinga hakuna mtu anaye control mechi ndio maana barca watawapiga Tano ,nne,na kuna siku watawapiga saba mpaka nane maana viungo wao wanachezesha team kama vichwa vimekatwa ni kukimbiza kimbia tu hakuna utulivu .
Ulichoandika sidhani hata kama we nwenyewe umekisoma.
 
Jude ni mpira kilimo jembe la mkono Hana talent ya musiala , Pedri,palmer ,mc allister etc kiufupi ni mchezaji wa kucheza Kwa maelekezo ya kocha na mafanikio ya team yanambeba sio yeye kuibeba team,vin na mbape unaiona talent zao binafsi sio Jude ,Madrid kuondoka Kwa ton na Luka kutawafanya wawe kawaida kwenye kiungo unless wasajili viungo wa ku control mechi hakuna hata mmoja ,valvelde,Jude,camavinga hakuna mtu anaye control mechi ndio maana barca watawapiga Tano ,nne,na kuna siku watawapiga saba mpaka nane maana viungo wao wanachezesha team kama vichwa vimekatwa ni kukimbiza kimbia tu hakuna utulivu .

Ceballos hivi sasa ndio amekuwa ZIdane wao, anawasaidia sana.
 
Kikosi chetu, kiungo mkabaji mmoja tu kaanza. Wengine wote ni Attacking.

Mzee kaipania sana hii mechi isije kumpalia.
 

Attachments

  • FB_IMG_1738177603004.jpg
    FB_IMG_1738177603004.jpg
    113.9 KB · Views: 5
Back
Top Bottom