Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Pep Guardiola leo kasema"Barca are the best team at the moment"Uzuri wa Barca hawatoki jasho,baada ya mechi huvaa suti na kuondoka bila kuoga sababu hakuna haja. Ukitoka jasho unapigwa fine na coach-Suarez keshapigwa fine mara 3,ameambiwa mpira ni starehe,a relax sio kutoka jasho

-hahahahahahahahahaha weweeeeeeeeee wape ukweli wape ukweliiiiii wapeeeeeeeeeeeee
-hahahahahaahahahahaha MwanaJf wewe sijui umetokea wapi, comment zako zinanikosha sana
CC everlenk, Mourinho, chebi na MO11
 
Last edited by a moderator:
-Vipi kuhusu Camp Nou, vipi kuhusu PSG na Game zingine.
-Kipindi kile Suarez hakuwa na uzoefu hata kidogo kucheza na Neymar na Messi, na hata sasa bado hajawazoea vema. Subir Next Season uone balaa lake ya hii Combination.

Kwanini Real Madrid inakunyima usingizi sana wewe? While you have other issues to think about:

Bayern have won on three of their four visits to Barcelona [ http://[[uefa.to/1EyGcLc ]
 
Haha umefufuka mzee? Uliongea sana kabla ya derby, baada ya game ukajificha. Saivi naona umerudi, utakimbia tena muda si mrefu.

Achana na mambo ya Atletico, hujui kwenda na wakati nini!!?? Tunaongelea Juventus v Real Madrid.
 
Haha umefufuka mzee? Uliongea sana kabla ya derby, baada ya game ukajificha. Saivi naona umerudi, utakimbia tena muda si mrefu.

Anataka kufa bado kijana, kuichukia Real Madrid ni sawa na kujitafutia ugonjwa wa moyo upoteze maisha ukiwa na umri mdogo.
 
Kwanini Real Madrid inakunyima usingizi sana wewe? While you have other issues to think about:

Bayern have won on three of their four visits to Barcelona [ http://[[uefa.to/1EyGcLc ]
Haha huyu jamaa bana burudani sana, mwanzo nilikuwa simsomi ila saivi nafurahia uwepo wake humu. Typical Cule, wanaichukia Madrid kuliko wanavyoipenda club yao.
 
-hahahahahahahahahaha weweeeeeeeeee wape ukweli wape ukweliiiiii wapeeeeeeeeeeeee
-hahahahahaahahahahaha MwanaJf wewe sijui umetokea wapi, comment zako zinanikosha sana
CC everlenk, Mourinho, chebi na MO11

We chekaaa ukifika muda wa kucheza na bakora ya mkoloni itakua zamu ya wenzako kucheka
 
Last edited by a moderator:
Achana na mambo ya Atletico, hujui kwenda na wakati nini!!?? Tunaongelea Juventus v Real Madrid.

Ushapoteza dira na mwelekeo, mwisho wa siku utakuja kushangilia Bayern wewe.
 
-Ila twendeni mbele turudi nyuma, tuweke upinzani pembeni.
-kwa upande wangu HAKUNA LIGI BORA KAMA LA LIGA(BBVA) Hii ndio League ambayo timu zote 3 zina hamu ya kubeba UEFA, tofauti na Ligi nyingine yoyote ile.
-Ni ndio ligi ambayo kwenye michuano ya kimataifa inafanya vema sana. Mimi sitaki kuwa mnafiki ila kiukweli EPL huwa siangalii, siangalii sababu sioni ladha yoyote ya Soka ile, msimu uliopita walau nilikuwa nabahatisha kuangalia Game za Man City ila msimu huu naona kama wanashindana vibonde kwa vibonde kisha wenyewe wanaona wanajua.
-Sijui nyie wenzangu mnaonaje ila mimi LA LIGA ndio Ligi niionayo ni Bora zaidi kuliko lig yoyote ile kwa miaka ya hivi karibuni duniani. Na laiti Bayern asingeingia basi hili Kombe la UEFA 100% lingebaki Spain.
cc Salamander, TUPACified.
 
Last edited by a moderator:
Haha huyu jamaa bana burudani sana, mwanzo nilikuwa simsomi ila saivi nafurahia uwepo wake humu. Typical Cule, wanaichukia Madrid kuliko wanavyoipenda club yao.

Jukwaa la Barca limepooza tatizo.
 
-Ila twendeni mbele turudi nyuma, tuweke upinzani pembeni.
-kwa upande wangu HAKUNA LIGI BORA KAMA LA LIGA(BBVA) Hii ndio League ambayo timu zote 3 zina hamu ya kubeba UEFA, tofauti na Ligi nyingine yoyote ile.
-Ni ndio ligi ambayo kwenye michuano ya kimataifa inafanya vema sana. Mimi sitaki kuwa mnafiki ila kiukweli EPL huwa siangalii, siangalii sababu sioni ladha yoyote ya Soka ile, msimu uliopita walau nilikuwa nabahatisha kuangalia Game za Man City ila msimu huu naona kama wanashindana vibonde kwa vibonde kisha wenyewe wanaona wanajua.
-Sijui nyie wenzangu mnaonaje ila mimi LA LIGA ndio Ligi niionayo ni Bora zaidi kuliko lig yoyote ile kwa miaka ya hivi karibuni duniani. Na laiti Bayern asingeingia basi hili Kombe la UEFA 100% lingebaki Spain.
cc Salamander, TUPACified.
Iko wazi hiyo. Liga mziki mwingine.
 
Last edited by a moderator:
-Ila twendeni mbele turudi nyuma, tuweke upinzani pembeni.
-kwa upande wangu HAKUNA LIGI BORA KAMA LA LIGA(BBVA) Hii ndio League ambayo timu zote 3 zina hamu ya kubeba UEFA, tofauti na Ligi nyingine yoyote ile.
-Ni ndio ligi ambayo kwenye michuano ya kimataifa inafanya vema sana. Mimi sitaki kuwa mnafiki ila kiukweli EPL huwa siangalii, siangalii sababu sioni ladha yoyote ya Soka ile, msimu uliopita walau nilikuwa nabahatisha kuangalia Game za Man City ila msimu huu naona kama wanashindana vibonde kwa vibonde kisha wenyewe wanaona wanajua.
-Sijui nyie wenzangu mnaonaje ila mimi LA LIGA ndio Ligi niionayo ni Bora zaidi kuliko lig yoyote ile kwa miaka ya hivi karibuni duniani. Na laiti Bayern asingeingia basi hili Kombe la UEFA 100% lingebaki Spain.
cc Salamander, TUPACified.

Premier league ni sawa na ligi ya kinamama, maneno meeengi soka yenyewe tee, ile inawafaa kina José Morinho kila wiki wanapata nafasi ya kuongea maneno yao ya taarabu.
 
Pep Guardiola leo kasema"Barca are the best team at the moment"Uzuri wa Barca hawatoki jasho,baada ya mechi huvaa suti na kuondoka bila kuoga sababu hakuna haja. Ukitoka jasho unapigwa fine na coach-Suarez keshapigwa fine mara 3,ameambiwa mpira ni starehe,a relax sio kutoka jasho
Ha ha ha ha hizi mind games za guardiola zinapotosha wengi,jamaa ni bonge la genius
 

Carlo Ancelotti: Juventus is a club that have a legendary history and it is returning to a semi-final after twelve years. They are having a very good season and have practically won the Italian league. That means they can focus more on the Champions League".


"We are confident that we can follow our dream, which is to reach another final after last year".


Satellite
 
Back
Top Bottom