Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Mi sina cha kusema ndugu yangu. We ongea tu, you deserve it. Lakini naomba msije kutafuta sababu tu, mi ntakuwepo humu humu.

First thing first, respect kwako Mkuu, kweli wewe ni a Madrista, jamaa wengine wamejificha nyuma ya ban ila wewe upo hapa unalisongesha kama kadawia, kudos
Hautakuwepo peke yako, tutakua pamoja na nikutakie kila la kheri na dhahma za mabuluda
 
Naaam Kaka, tunaleta mdundiko wa kibuluda hapo santiago na tunajua kina christina and co. watamwaga mauno kwa mbwembwe na bakshasha zotee

toa hawa viwete tukutane final unipe kombe.
 
First thing first, respect kwako Mkuu, kweli wewe ni a Madrista, jamaa wengine wamejificha nyuma ya ban ila wewe upo hapa unalisongesha kama kadawia, kudos
Hautakuwepo peke yako, tutakua pamoja na nikutakie kila la kheri na dhahma za mabuluda

Juventus wanakuja Bernabéu kucheza mpira. Wana defend, wanapenda ball possession na wanaongoza kwa bao 2-1. Lakini kumtoa Real Madrid nusu fainali ya UCL nyumbani kwake sio kama kumsukuma mlevi. Tusubiri...
 
Juventus wanakuja Bernabéu kucheza mpira. Wana defend, wanapenda ball possession na wanaongoza kwa bao 2-1. Lakini kumtoa Real Madrid nusu fainali ya UCL nyumbani kwake sio kama kumsukuma mlevi. Tusubiri...

Tunakuja kukamilisha tulichokianza wiki jana, jaani kumalizia mahari tumtwae mwali, tutakamilishaje au tutashindaje mtajua hiyo hiyo jumatano
Kama mmenza tabia za kilevi we'll treat you kama mlevi mwingine yeyote yule, hatutasubiri muwe sober
 
Tunakuja kukamilisha tulichokianza wiki jana, jaani kumalizia mahari tumtwae mwali, tutakamilishaje au tutashindaje mtajua hiyo hiyo jumatano
Kama mmenza tabia za kilevi we'll treat you kama mlevi mwingine yeyote yule, hatutasubiri muwe sober

Mi siongei tena, majibu yapo Bernabéu.
 
Mi sina cha kusema ndugu yangu. We ongea tu, you deserve it. Lakini naomba msije kutafuta sababu tu, mi ntakuwepo humu humu.

We ----- nakukubali ujue, sorry nimekusifia ila wewe ni madridista kama mimi kulaleki, upande wa pili kesho wanatoka waache wajidanganye maana fainali zinaingia timu zilizoingia nusu fainali last year,
 
We ----- nakukubali ujue, sorry nimekusifia ila wewe ni madridista kama mimi kulaleki, upande wa pili kesho wanatoka waache wajidanganye maana fainali zinaingia timu zilizoingia nusu fainali last year,

Kwa mtu aliefuatilia game first-leg iliyochezwa Turin, hawezi kupiga makelele eti Juve inakuja kumfunga Real Madrid Berbabéu. Mpira magoli, lakini ukiangalia magoli mawili yote utagundua uzembe flani ndio uliofanya tupoteze game na wala sio tactics. Ushindi wa Juve utategemea mistakes za Real, kitu ambacho hakiwezi kutokea kwenye mechi kama hii.
Mi sitaki kuongea, tusubiri tu tuone.
 
Tunakuja kukamilisha tulichokianza wiki jana, jaani kumalizia mahari tumtwae mwali, tutakamilishaje au tutashindaje mtajua hiyo hiyo jumatano
Kama mmenza tabia za kilevi we'll treat you kama mlevi mwingine yeyote yule, hatutasubiri muwe sober

tunambeba mwali kwa mperampera, achana na Juve, jamaa wabaya sana wale.
 

kama ndo hivyo basi hata ninyi lile goli mlilopata ni uzembe wa Juve. Na haihitajiki kufungana ili Juve apite, hata matokeo ya droo ya 0-0 yeye kapita
 

Hutaki kuongea and yet you're here talking utterly nonsense, we outwitted your team in the first leg man, kila anayejua soka aliliona hilo
Kaeni chonjo kwa sababu baada ya game ya jumatano mtaanza kumtafuta mchawi na risiti za manunuzi za mediocre players mliowanunua kwa bei za kutupwa
#ForzaJuve
 

eti Madrid hawezi kucheza mistakes Bernabeu kwa mechi kama hiyo.
 
We ----- nakukubali ujue, sorry nimekusifia ila wewe ni madridista kama mimi kulaleki, upande wa pili kesho wanatoka waache wajidanganye maana fainali zinaingia timu zilizoingia nusu fainali last year,

Game ya Munich na Barca ishaisha, imebaki ya Real na Juve. Ni mwehu tu anaweza akawa na imani kwamba Munich hii atampiga Barca goli 4-0.
 
kama ndo hivyo basi hata ninyi lile goli mlilopata ni uzembe wa Juve. Na haihitajiki kufungana ili Juve apite, hata matokeo ya droo ya 0-0 yeye kapita

Hakuna droo pale, tusubiri kuona magoli mengi kwenye hii mechi. Usiyempenda lazima aje.
 
Hakuna droo pale, tusubiri kuona magoli mengi kwenye hii mechi. Usiyempenda lazima aje.

hahahahahahahaha!!!!! We acha tuu.
UEFA huwa tunakaza sana kwa Madrid kwa miaka ya hivi karibuni. Tushawahi kukupiga kwako 2.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…