Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Mtihani mwepesi kabisa kwetu. Kazi ipo kwa psg, man city
 
Man city wanabahati mbaya sana!

Mpira uwanjani lakini hawa weupe tu, kama unakumbuka mara ya mwisho kucheza nao tuliwapiga 6 - 1. Lakini mechi ya Man City na Barcelona huwezi kuitabiri kabisa, ni game tough timu yoyote inaweza kutoka mashindanoni, sawa na mechi ya PSG na Chelsea.
 
So here are the final results of the UCL Round of 16 draw.

 
Mpira uwanjani lakini hawa weupe tu, kama unakumbuka mara ya mwisho kucheza nao tuliwapiga 6 - 1. Lakini mechi ya Man City na Barcelona huwezi kuitabiri kabisa, ni game tough timu yoyote inaweza kutoka mashindanoni, sawa na mechi ya PSG na Chelsea.

Mkuu, psg vs chl hapo zitapigwa ila man city dah, barca ni kisiki hasa akicheza Messi!
 
Mkuu, psg vs chl hapo zitapigwa ila man city dah, barca ni kisiki hasa akicheza Messi!

Juzi Barcelona wamedroo na GETAFE,timu inayoshika nafasi ya 13 kwenye La Liga. Dakika 90 bila bila, Barceloba wameshindwa kuweka bao wakiwa wachezaji wao wote wakutegemewa. Na wiki iliyopita pia niliwaona kwenye mechi yao na Valencia, Refarii kalazimisha bila aibu mpaka kawapa bao dakika ya 96 ya mchezo.
Kwa hiyo game yao na Man City, we subiri uone, mi nipo hapa hapa.
 

Sawa mkuu.
 
UEFA Champions League: Round of 16 (1st leg).

SCHALKE 04 - REAL MADRID

18/FEBRUARY/2015, VELTINS-ARENA, GELSENKIRCHEN, GERMANY



Schalke 04 - Real Madrid
 
UEFA Champions League: Round of 16 (2nd leg)

REAL MADRID - SCHALKE 04

10/MARCH/2015, ESTADIO SANTIAGO BERNABEU, MADRID, SPAIN

 
Marca (15-12-2014)
"Desert Storm Operation"

 
This week we are hoping for a Club World Cup victory. To get to this point, we won the Champions League. Take a look at the victories leading up to the Tenth here: http://bit.ly/1wAsDns

 
Training session / Entrenamiento 15/12/2014

Almost a thousand fans watch the training session in Rabat / Cerca de mil aficionados presenciaron el entrenamiento en Rabat.

Real Madrid exercised in the Prince Moulay Abdellah Stadium in front of the almost one thousand fans who came to watch the final training session ahead of the Club World Cup semi-final, which the team will play tomorrow against Cruz Azul in the Stade de Marrakeck (12:30 AM PST).

Ancelotti spilt the group up with the squad's 19 outfielders on one side of the pitch and the three goalkeepers, who worked on specific drills, on the other. Khedira and James worked at the same pace as the rest of their team-mates, although the Colombian did not take part in the small match, and instead finished the session working on his own.

Pictures taken at Stade Prince Moulay Abdellah








 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…