Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Duuh! Ila hao Almeria walitupiga kagoli kazuri sana

We hukuangalia game ya jana? Almería walikuwa wamekomaa mpaka nikamuona Ancelotti kasimama, walivyopoteza penalty ndio Real Madrid wakaona hii mechi si ya kuifanyia masihara. Hata hivyo tumshukuru Casillas alipocheza ile penalty, kama jamaa wangepata bao la pili labda ungekuwa mwingine.
 
Madrid make it 20 wins in a row! It is now 12 wins in La Liga, 6 in the Champions League and 2 in the Copa del Rey, scoring 74 goals (almost four per game) and conceding just 10 Madrid make it 20 wins in a row | Real Madrid CF #HalaMadrid

10857754_10150740974439953_3542634289921509629_n.jpg
 
AS (13-12-2014)
"Ready for the Club World Cup"

10404454_851823754870510_3002681885591829473_n.jpg
 
We hukuangalia game ya jana? Almería walikuwa wamekomaa mpaka nikamuona Ancelotti kasimama, walivyopoteza penalty ndio Real Madrid wakaona hii mechi si ya kuifanyia masihara. Hata hivyo tumshukuru Casillas alipocheza ile penalty, kama jamaa wangepata bao la pili labda ungekuwa mwingine.

Hapo wachezaji inabidi wawe makini inawezekana walikuwa wameidharau hyo timu ndo maana mwanzoni mechi ilikuwa ngumu kwa madrid. Alafu nimesoma mahali Kocha wa zamani wa Argentina akiitadharisha madrid kwamba wanapokwenda kwenye michuano ya kombe la Dunia kwa upande wa vilabu wasitegemee mteremko, inabidi wajipange na akatoa mfano wa Chelsea mwaka juzi alivyoshangazwa na Corinthians kutoka Brazil.
 
Hapo wachezaji inabidi wawe makini inawezekana walikuwa wameidharau hyo timu ndo maana mwanzoni mechi ilikuwa ngumu kwa madrid. Alafu nimesoma mahali Kocha wa zamani wa Argentina akiitadharisha madrid kwamba wanapokwenda kwenye michuano ya kombe la Dunia kwa upande wa vilabu wasitegemee mteremko, inabidi wajipange na akatoa mfano wa Chelsea mwaka juzi alivyoshangazwa na Corinthians kutoka Brazil.

Hakuna mechi rahisi kwa Real Madrid kwa sasa, kila timu inayocheza nayo inagangamala kinoma, kitu cha kushukuru ni kwamba timu iko kwenye morali wa kuvunja rekodi, mawasiliano mazuri baina ya wachezaji na sasa hivi kila mtu ana-fight asikae benchi.
 
Hivi ili suala la kutaka kumuuza Bale alafu wamlete Raheem Sterling mnalionaje? Mi naona wanapotea njia.
 
Hivi ili suala la kutaka kumuuza Bale alafu wamlete Raheem Sterling mnalionaje? Mi naona wanapotea njia.

Swala la kuuzwa wachezaji kwa sasa lisikutie presha, muda bado sana, enjoy the games. Na mchezaji yoyote akiondoka pale anakuja mwingine na moto ni ule ule. Real Madrid has been the best club of all the time ondoa wasiwasi. Usiogope kwani wakali wa soka wote ulimwenguni wanaota kuja Bernabeu.
 
Back
Top Bottom