Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Ni hakika. Lakini hawa washenzi wamekuwa wasumbufu mno aiseee! lakini kwa moto na momentum tuliyonayo lazima tuwanyoe.
Hala madrid!
 

Angalia game yao ya mwisho waliyocheza San Mame, Bilbao. Wamepigwa nne kama wamesimama kwa hiyo kisaikolojia hawako sawa sasa, halafu timu yetu iko tofauti na tulivyoanza ligi sasa hivi tunatisha,lazima tuwafunge tu.


Salamander wamem"piga" mtu hao hawajapigwa.....Au umepitiwa?
 
Last edited by a moderator:
Nimeona kaka, na hawa watu hawatakagi ubingwa wala nini, wao wanataka ushindi tu dhidi ya Real.
Yeah, ni Madrid derby..lazima iwe na msukumo wake..kama kawaida ya Derbies zinavyokuwaga. Lakini this tym tunawanyoa mchana kweupe na tunawatoa kwenye Copa del ray...!
 
Yeah, ni Madrid derby..lazima iwe na msukumo wake..kama kawaida ya Derbies zinavyokuwaga. Lakini this tym tunawanyoa mchana kweupe na tunawatoa kwenye Copa del ray...!

Wale wateja wetu miaka yote, sema basi tu siku hizi wanajifanya kukomaa. Lakini Real hawafanyi makosa tena, kama wakiweka mpira chini watakiona kilicho wakuta Portugal mwezi mei.
 
Ancelotti needs to win 30 of the next 44 (or less) matches with Real Madrid to become the quickest coach in the club's HISTORY to reach 100 wins. [Via: rmadrid_stats]
Can he do this ?
 
Last edited by a moderator:
Real Madrid Cafe in Dubai will be officially launched on December 29th. Cristiano Ronaldo, James Rodriguez, Gareth Bale, Iker Casillas, Isco & others will be present there at the opening ceremony







 
Álvaro Arbeloa: "We shared a very special day with our friends from The Pandora Association in Zaragoza. What an amazing job they carry out! Many thanks!"

 
Dunga (Brazil National Team Coach): "I have voted for Cristiano Ronaldo. He deserves to win the Ballon D'or the most."
 
Cristiano Ronaldo and Karim Benzema, the best attacking duo of 2014, have scored 55 Liga goals between them which no other attacking partnership was able to match!Top scoring duos in La Liga
[Via : @UltraSurist

 
Last edited by a moderator:
January is going to be very tough (a real challenge) for us because we will face Valencia in La Liga and Atletico in Copa Del Rey's Round of 16 twice.
And the winner from Atletico vs Real Madrid and Barcelona vs Elche will face each other in the Quarter-finals of CDR.

Hope everything goes well. ‪#‎HalaMadrid‬
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…