Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,746
- Thread starter
- #61
Goli la tano la Real Madrid kupitia kwa Isco.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Piga mtu za saa hizi a.k.a tano...halla madrid
​Game ya leo umeiona kaka? Ilikuwa zaidi ya show. Hapo mbele kulikuwa na Ronaldo, Chicharito na bwa mdogo Isco, yaani ni burudani tosha. Usikose kuangalia game ya jumatano na Liverpool.
Gareth Bale hataweza cheza dhidi ya Liverpoool ila najua tutapata ushindi mnono tu
Mwenye record ya hv vilabu pind vinapokutana atuwekee ili tuweze kutabir vzur maana hata historia huwa na nafasi yake kutabiri matokeo. Mara nying vilabu vikubwa vinapikutana suala la kusema club moja ipo kwenye kiwango kizur na nyngne haiko poa huwa halina nafasi kubwa ya matokeo.
Mwenye record ya hv vilabu pind vinapokutana atuwekee ili tuweze kutabir vzur maana hata historia huwa na nafasi yake kutabiri matokeo. Mara nying vilabu vikubwa vinapikutana suala la kusema club moja ipo kwenye kiwango kizur na nyngne haiko poa huwa halina nafasi kubwa ya matokeo.
Kesho anapiga hat trick