Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread


Luis Suarez: "I do not understand why they whistle Casillas in his own stadium. With what he was won with Real Madrid, that they whistle in that way…before whistling you have to think."

They are just morons and mourinho's minions.
 

BREAKING NEWS: Cristiano Ronaldo can playagainst Éibar tommorow.The yellow card has been discarded by the community.
 
They are just morons and mourinho's minions.

Mkataba wake unaisha 2017 kama sikosei, he has been with the club all his carrier lakini watu wanasahau haraka sana. Juzi kawa-prove wrong wote wanaomzomea, manaake zile saves ndio zilitufanya tuchukue 3 points.
 
Mkataba wake unaisha 2017 kama sikosei, he has been with the club all his carrier lakini watu wanasahau haraka sana. Juzi kawa-prove wrong wote wanaomzomea, manaake zile saves ndio zilitufanya tuchukue 3 points.

Hii ni kama wabongo tunavyomshambulia Diamond wakati ni kijana wetu na anatuwakilisha vizuri nje ya bongo. Acha tu aende msimu ukiisha, Martin asije akakua akakuta wanamchukia m-dingi wake wakati kajitolea kila kitu kwa ajili ya club.
 

Today is birthday of Roberto Carlo (The Great Left-back ever).

-He has won 27 trophies including FIFA World Cup, Copa America, La Liga, Champions League, Club World Cup, UEFA Super Cup, FIFA confederations cup etc and scored 113 goals in his wonderful career.

‪#‎Legend‬ ‪#‎GreatestLeftBack‬

22003_983535448337882_5811825965182283122_n.jpg

 
Hii ni kama wabongo tunavyomshambulia Diamond wakati ni kijana wetu na anatuwakilisha vizuri nje ya bongo. Acha tu aende msimu ukiisha, Martin asije akakua akakuta wanamchukia m-dingi wake wakati kajitolea kila kitu kwa ajili ya club.

Muache akale pension sasa hivi, mwenyewe anataka kuamia Marekani manaake maisha ya Ciudad de Madrid gozi gozi pale.
 
Muache akale pension sasa hivi, mwenyewe anataka kuamia Marekani manaake maisha ya Ciudad de Madrid gozi gozi pale.

Ila sipatii picha siku anaondoka, Jamaa maisha yote kaishi in white. Na issue nyingine, Sarah ataacha kazi kumfata Marekani?
 
Marca wana-report kuwa CR7 kashinda rufaa yake ya allegedly dive game ya juzi. Kesho yupo uwanjani a3ndelee kutupia kama kawaida yake,
Hala Madrid
 
Ila sipatii picha siku anaondoka, Jamaa maisha yote kaishi in white. Na issue nyingine, Sarah ataacha kazi kumfata Marekani?

Ndio maana hataki kucheza timu yoyote hapa Ulaya, na akihamia marekani Sara Carbonero anakula shavu moja kwa moja, anakuwa representer of Telecinco in USA. Hata hivyo washapiga bingo za kutosha za kuzeekea kwenye fukwe za Carribean na fabolous life, siyo stress za Ulaya tena.
 
Ndio maana hataki kucheza timu yoyote hapa Ulaya, na akihamia marekani Sara Carbonero anakula shavu moja kwa moja, anakuwa representer of Telecinco in USA. Hata hivyo washapiga bingo za kutosha za kuzeekea kwenye fukwe za Carribean na fabolous life, siyo stress za Ulaya tena.

Kweli. Ila atakapoondoka Iker, Perez atakuwa na nguvu sana, coz wote watakuwa wamemkuta.
 

Real Madrid complete their last session before taking on Éibar


Real Madrid underwent their final training session ahead of Saturday's clash with Éibar at the Santiago Bernabéu (16H CET). Carlo Ancelotti included the Castilla players Noblejas, Javi Muñoz and Marcos Llorente, in addition to the Under-19s goalkeeper Marcos Lavín, in a session that got underway in two groups. While the keepers carried out specific exercises, the outfield players formed two 'rondo' possession drills.

James and Kroos, who are suspended for the game against Éibar due to accumulated yellow cards, were absent with the coach's permission. Meanwhile, Bale, Khedira and Coentrão did work indoors.

11129752_983549231669837_8689827257181322065_n.jpg


10404879_983549578336469_3083047015627593692_n.jpg


10345985_983549311669829_5481790372425917265_n.jpg


11140393_983549641669796_3805907856245260744_n.jpg


11133662_983549448336482_8138933810177103053_n.jpg
 
Marca wana-report kuwa CR7 kashinda rufaa yake ya allegedly dive game ya juzi. Kesho yupo uwanjani a3ndelee kutupia kama kawaida yake,
Hala Madrid

Lakini kwa mtazamo wangu hawakufanya busara kukatia rufaa ile yellow card, wangemwacha apumue kisha acheze mechi zilizobaki akiwa fresh kwasababu Éibar hawatishi kihivyo. Lakini sasa hivi, akipewa yellow card nyingine inabidi akose mechi inayofuata, na huko mbele kuna mechi kama za Malaga, Valencia, Sevilla ambazo ni ngumu kuliko hii. Lakini acha tu!
 

Ancelotti's press conference:


- Cristiano will play

- Bale won't play due to injury

- Pepe is available

- Illarra and Jesé could start
 

Training Session,today(10/04/2015)



Real Madrid complete their last session before taking on Éibar.



 
Last edited by a moderator:

The 19-man squad for the match against Éibar


Real Madrid are in action on matchday 31 of La Liga at the Santiago Bernabéu.

Carlo Ancelotti has named 19 players in his squad for Real Madrid's La Liga matchday 31 clash with Éibar at the Santiago Bernabéu (Saturday, 4pm CEST).

REAL MADRID SQUAD:
Goalkeepers
: Casillas, Keylor Navas and Pacheco.
Defenders: Varane, Pepe, Ramos, Marcelo, Carvajal, Arbeloa and Nacho.
Midfielders: Lucas Silva, Modric, Isco, Illarra and Javi Muñoz.
Forwards: Cristiano Ronaldo, Jesé, Benzema and Chicharito.

PRE-MATCH MEET-UP
Today at 8pm at the Santiago Bernabéu.

NEXT TRAINING SESSION
Sunday 12 April at 11am at Ciudad Real Madrid (behind closed doors).

Satellite


 

The 19-man squad for the game against Éibar


 
Last edited by a moderator:

Ancelotti: "Iker Casillas? I want him to stay, and he wants to stay as well."

22099_983662178325209_1242972597661731557_n.jpg
 

Iker Casillas:"We have to win every game left, because one slip-up leaves us out of it. We have to put the pressure on and wait for Barcelona to make a mistake".
 

Maradona: "James Rodriguez is a very talented lad and a good lefty, exquisite and elegant

- You know you're doing a fine job, when one of the greatest players ever Praises you. ‪#‎HAMEEEEES‬
 
Back
Top Bottom