Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

[17:15, 20/04/2015] Cassim: Decima haijalishi man. Hatutakiwi kumsujudia mtu kisa ametupa La Decima. Kumi imetokana na 1 hadi 9 na walioleta hayo wote waliondoka mwisho wa siku.

[17:15, 20/04/2015] Cassim: Perez korodani zimemvimba hadi leo.

[17:15, 20/04/2015] Cassim: Umechukua La Decima halafu vichomi daily. Kila game kubwa naangalia kwa stress.
 
[17:36, 20/04/2015] Cassim: Kama hamjaona makosa mtayaona tu.

[17:36, 20/04/2015] Cassim: Siku si nyingi.

[17:38, 20/04/2015] Cassim: Makocha wa maana miaka yote wamefundisha Real Madrid. Kocha anakaa kwenye timu endapo tu anafanya vizuri. Hakuna timu kubwa yeyote ukiacha Arsenal ambayo itavumilia timu kusubiri miaka mitatu ndo ifanye vizuri. Madrid hatuna huo muda. Carlo ametupa La Decima na mengine lakini kama ilivyo ada tunasahau mapema na hilo ndo litakalojiri.

[17:38, 20/04/2015] Cassim: Mnampenda Carlo mtamfuata atakapoenda. Mbona mambo mepesi tu haya bandugu?

[17:39, 20/04/2015] Cassim: Sisi tunataka aondoke. Nyie mnataka abaki. Basi tusubiri hadi atakapoondoka.

[17:39, 20/04/2015] Cassim: Tusihojiane makosa yake tena.

[17:40, 20/04/2015] Cassim: Madrid tuna utamaduni wetu na ndo huo. Beba ndoo sepa.
 
Huyu Cassim ana hasira na Ancelotti, let's focus on the wednesday derby kwanza. Carlo anamaliza, bora amalize vyema atengeneze japo CV huko anakukwenda.
 

Luis Enrique on Modric's injury: "I am sorry to see any football player injured, whatever the team he plays for."
 

AS | Financial reasons could also be a factor as BVB may need the €30m Real Madrid are said to be willing to offer for Reus.


Reus signed a new contract at BVB in February, one that runs until 2019, but Klopp leaving could see him want to move on.


Real Madrid already have an important relationship in the deal as Reus has the same agent as Toni Kroos - Volker Struth.


10314543_988987717792655_6645550782380352680_n.jpg
 
Huyu Cassim ana hasira na Ancelotti, let's focus on the wednesday derby kwanza. Carlo anamaliza, bora amalize vyema atengeneze japo CV huko anakukwenda.
Hahaha ana hasira nae vibaya, mwanzo tulibishana nae sana akimtetea.

C.V anayo ya kumfanya awe lulu ulaya, ila Madrid ni Madrid. Jamaa lazima aondoke, akiongeza mkataba na nifungiwe moja kwa moja kuingia JF.
 
Hahaha ana hasira nae vibaya, mwanzo tulibishana nae sana akimtetea.

C.V anayo ya kumfanya awe lulu ulaya, ila Madrid ni Madrid. Jamaa lazima aondoke, akiongeza mkataba na nifungiwe moja kwa moja kuingia JF.

Kitendo cha kupoteza mechi mfululizo ndio kitamuondoa Carlo, anauhusiano mzuri na wachezaji, lakini Spanish football imemshinda. Kufundisha Real Madrid unatakiwa kutumia akili sana kwasababu always tuna timu nzuri, na hii inasababisha kuwa na rivals all over Europe. Kuanzia mwanzo wa season mpaka mwisho ni challange tu, ndio maana kina Pellegrini waliondoka kabla ya kumaliza mikataba.
 

Jugones | Benzema won't play vs Atlético on Wednesday for sure.
 
Kitendo cha kupoteza mechi mfululizo ndio kitamuondoa Carlo, anauhusiano mzuri na wachezaji, lakini Spanish football imemshinda. Kufundisha Real Madrid unatakiwa kutumia akili sana kwasababu always tuna timu nzuri, na hii inasababisha kuwa na rivals all over Europe. Kuanzia mwanzo wa season mpaka mwisho ni challange tu, ndio maana kina Pellegrini waliondoka kabla ya kumaliza mikataba.
Si ndio hapo. Real Madrid hata kwenye auto-pilot tunabeba ndoo tu.
 
Hahaha ana hasira nae vibaya, mwanzo tulibishana nae sana akimtetea.

C.V anayo ya kumfanya awe lulu ulaya, ila Madrid ni Madrid. Jamaa lazima aondoke, akiongeza mkataba na nifungiwe moja kwa moja kuingia JF.

Carlo yupo na msimu ujao. Wait and see.
 
Tall sahau Khedira na Illara wote wanatakiwa wakae jukwaani kabisa kule washangilie tu, hawafai kwenye kiungo wataua timu wale.
Ancelotti angekuwa jinsi ya kuwamaliza Atleti nyuma angewasimamisha Ramos na Varane halafu Pepe angecheza defensive midfielder pale kati, kwahiyo Kroos angebadilisha position akawa anashambulia hapa na pale.

Mimi first IX yangu ya jumatano hii hapa:
Casillas - Carvajal, Ramos, Varane, Coentrao - Pepe, Kroos, James, Isco - Cristiano, Benzema.

Yaani hiyo 4-4-2 ni bonge la surprise kwa simeoni.

Well said...hiyo hata mimi nliwaza...hahahahhahaha,kwa hiyo wale wakae jukwaan
 

Marca | There exists the possibility of playing Varane, Pepe and Ramos at the same time on the pitch.

11149295_989014857789941_8723024656189001783_n.jpg
 
Jumatano ni Shangwe tuuuuuuuuuu!!!!!!!!!

Hahaha, Jamaa unaisubiria j5 kuliko hata unavyoisubiria kesho. We utakuwa unaipenda hii timu ila unazuga, si bure. Mi thread ya barca hata kuchungulia sijawahi, wala siwezi kwenda kwenye thread ya timu ingine yoyote kama sina kizuri cha kusema.
 

Marca | There exists the possibility of playing Varane, Pepe and Ramos at the same time on the pitch.

11149295_989014857789941_8723024656189001783_n.jpg
Nilipendekeza hii kitu pia, except mi niliwaongeza viungo kweli badala ya fullbacks kwenye kiungo. Tukicheza hivi Atleti watakuwa wanaomba mpira uishe
 
Nilipendekeza hii kitu pia, except mi niliwaongeza viungo kweli badala ya fullbacks kwenye kiungo. Tukicheza hivi Atleti watakuwa wanaomba mpira uishe

Hiyo 4-4-2 ni vile vile nilivyosema jana, yaani hiyo ni nusu uwanja, Atleti wataokoa mpaka vichwa vitawauma itabidi waachie tu.Sema hapo mbele ningependa aanze Chacharito kwasababu anataka kuwaonyesha watu bado yumo, itasaidia timu sana.
 

Fernando Torres:"In a team that has Iker, Sergio, Bale, Kroos... Modric is important but he doesn't make up half the team. Real Madrid have a very distinct style of play that is very difficult to defeat. The players that come in to replace Bale and Modric won't force the team to change its style".
 
Back
Top Bottom