Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Achana naye huyoooo.
Bila shaka ataelewa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana naye huyoooo.
Soma post yangu ya mwanzo uelewe
Naona umekurupuka tu!!
Kuweka neno bahati haikuwa na maana goli ni la bahati mkuu...
Siku zote maishani mwetu na vitu vinavyotuzunguka huambatana na bahati...
Ikiwa umeandikiwa bahati njema hata iweje lazima mambo yakunyookee...
Hivyo usilichukulie neno bahati kwa mtazamo hasi...
Achana naye huyoooo.
Blah blah blah, yaani mpira wote wamepiga Real bado unadai bahati tu? Atletico out, haters subirini mshangilie Juventus sasa.
El bitchito, akili zake anazijua mwenyewe. Tulim-miss sana
Naona umekuwa mgumu kuelewa ujumbe wa kile nilichokiandika...
Tuishie hapa tafadhali...