Plesis
JF-Expert Member
- Dec 24, 2012
- 945
- 856
juve naona wanatumia nguvu nyingi kwa cr7 na bale wanamuacha fundi J10, ila cavarjal na pepe bado sijawaelewa
vipi Marcelo kwenye ukabaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
juve naona wanatumia nguvu nyingi kwa cr7 na bale wanamuacha fundi J10, ila cavarjal na pepe bado sijawaelewa
Goli la tisa for this season.now Ronaldo leads one goal behind messi(8)Hili goli la ngapi kwa cr7 uefa this season?
James ni zaidi ya mchezaji
Hapo Coach angekuwa na akili, unarudisha Ramos kucheza kama defender na Pepe + Varane, kiungo amechemka. Sogeza Marcelo na Carvajal katikati, Isco na James mbele, Bale out for Chicharito.
Hapo Coach angekuwa na akili, unarudisha Ramos kucheza kama defender na Pepe + Varane, kiungo amechemka. Sogeza Marcelo na Carvajal katikati, Isco na James mbele, Bale out for Chicharito.