Mimi ninaona Ancelloti ndio anayezungua, huwa ni muoga sana kufanya mabadiliko., jana tulikuwa na viungo Wanne uwanjani ila jamaa walishika dimba, shida ni kuwa hao viungo wote watatu wana uchezaji unaofanana., Modric na Ceballos walivyoingia ndio game ilibadilika, niliona tunacheza mpira mzuri tu unaoeleweka.
Kama atakuja Kocha mwingine msimu ujao ni lazima afumue midfield yetu.
tatizo kuu la timu lipo kati, midfield zote ni za style moja amabazo sio rafiki kwa mazingira ya timu, Camavinga, Valverde na Belingham lazima wawili wakae nje modric na Rodrygo wachukue nafasi.