Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kikosi cheque hiki hapa. Vini, Ceballos ndani
 

Attachments

  • FB_IMG_1738434722483.jpg
    FB_IMG_1738434722483.jpg
    85.4 KB · Views: 3
Rudiger nje, sijui atakaa mda gani ila ni bora aikose Atletco ya kina griezman na alvarez yule Asencio anaweza kukomaa nao

kuliko Manchester City ya Halaand lile jini dawa yake Rudiger.
 
Na bado mtafungwa sana kenge nyie nawachukia sana akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia
 
Hiyo I trailer tu city anakuja mtapigwa sana kenge pori nyie. Nawachukia sana akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia
 
jamaa walicheza kwa nidhamu sana, tuna lack quality fullbacks kwenye attacking.
Sub ya ceballos sikuielewa modric alitakiwa kuingia ila sio Dani kutoka.

Kama kocha alishindwa kumtoa vervede au Bellingham ili modric aingie ni Bora angetoka vasquez, vervede akacheze kule kulia.

Baada ya kutoka ceballos pale kati palibaki Uchi kabisa.

Rodrigyo wa moto now

ila vin game kipindi cha pili ilimkataa hakustahili kumaliza dakika 90
 
Sub ya ceballos sikuielewa modric alitakiwa kuingia ila sio Dani kutoka.

Kama kocha alishindwa kumtoa vervede au Bellingham ili modric aingie ni Bora angetoka vasquez, vervede akacheze kule kulia.

Baada ya kutoka ceballos pale kati palibaki Uchi kabisa.

Rodrigyo wa moto now

ila vin game kipindi cha pili ilimkataa hakustahili kumaliza dakika 90

Ni kweli either Jude au Valverde ndio waliotakiwa kutolewa, ila alichokifanya sio kama ni upumbavu alijua nini anafanya na sio mara ya kwanza kufanya bahati mbaya tu mambo hayakwenda sawa, Modric ana offer zaidi kwenye attacking kuliko ceballos, na ndio mana aliifanya ile sub ili aengeze mashambulizi.
 
Ni kweli either Jude au Valverde ndio waliotakiwa kutolewa, ila alichokifanya sio kama ni upumbavu alijua nini anafanya na sio mara ya kwanza kufanya bahati mbaya tu mambo hayakwenda sawa, Modric ana offer zaidi kwenye attacking kuliko ceballos, na ndio mana aliifanya ile sub ili aengeze mashambulizi.
Ni kweli hata Jude angetoka ingekua sahihi
 
Sub ya ceballos sikuielewa modric alitakiwa kuingia ila sio Dani kutoka.

Kama kocha alishindwa kumtoa vervede au Bellingham ili modric aingie ni Bora angetoka vasquez, vervede akacheze kule kulia.

Baada ya kutoka ceballos pale kati palibaki Uchi kabisa.

Rodrigyo wa moto now

ila vin game kipindi cha pili ilimkataa hakustahili kumaliza dakika 90
Sure man, Carlo kama kawaida uoga wake ndio unatuumiza msimu huu., jamaa wameshaamua kukaa nyuma una Arda Güler anayeweza kucheza kwenye hali hiyo na yupo bench ila anaogopa kumtoa mtu fulani, ajabu sana. Tulikuwa na advantage nzuri tu, ila tuaanza kucheza tena kwa presha, na game inayofuata ni dhidi ya Atletico Madrid.
 
Ni kweli either Jude au Valverde ndio waliotakiwa kutolewa, ila alichokifanya sio kama ni upumbavu alijua nini anafanya na sio mara ya kwanza kufanya bahati mbaya tu mambo hayakwenda sawa, Modric ana offer zaidi kwenye attacking kuliko ceballos, na ndio mana aliifanya ile sub ili aengeze mashambulizi.
Kuna wachezaji nahisi wanampa presha kocha kuanza, Jude na Vin hawa naona kama kocha anawagwaya sana.

Kinachombeba Rodrigyo ni performance yake vinginevyo mzee hua anamtumia kama mbuzi wa kafara kumuweka bench huyu dogs kisa hana matatizo na kiburi.

Ila vin ata awe na kikwango kibovu akiwa fit et lazima acheza sa sijui kwann.
 
Kuna wachezaji nahisi wanampa presha kocha kuanza, Jude na Vin hawa naona kama kocha anawagwaya sana.

Kinachombeba Rodrigyo ni performance yake vinginevyo mzee hua anamtumia kama mbuzi wa kafara kumuweka bench huyu dogs kisa hana matatizo na kiburi.

Ila vin ata awe na kikwango kibovu akiwa fit et lazima acheza sa sijui kwann.

mkuu hao tayari wana hadhi ya kuitwa mastaa, kwahiyo tayari unakuta wapo juu ya kocha, akijaribu kuweka bench mara bodi inaanza kumuhoji. Bodi za timu huwa na demand zao masuper star wao always huwa wantaka wawemo uwanjani.
 
Back
Top Bottom