Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

mkuu hao tayari wana hadhi ya kuitwa mastaa, kwahiyo tayari unakuta wapo juu ya kocha, akijaribu kuweka bench mara bodi inaanza kumuhoji. Bodi za timu huwa na demand zao masuper star wao always huwa wantaka wawemo uwanjani.
Hii hoja yako hua naielewa sana.

Ila binafsi hua naona haiko fair.

Imagine jana Rodrigyo angekua na kiwango kama cha vin... angefanyiwa sub mapema tu.
 
Na bado mtapigwa sana. Vipigo vingine viko njiani vinakuja. Nawachukia sana. Baada ya Shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia.
 
Hapana wanaweza kucheza pacha na vervede.

Wanaita double pivot sijui.

Belingham hawezi cheza namba za nyuma, moja weakness yake kubwa ni kushindwa ku cover position, always yupo out of position. ikiwa hapo namba 10 anashindwa kukaa muda wote yupo position ya 9 hivi kweli ataweza kutulia namba 8? na Pia ukisema wacheze wote kwa maana mtu kama Ceballos akae nje? time lazima inahitji mtu wa ku control tempo of the game bila ya hivo timu itazidiwa mechi zote.
 
Hii hoja yako hua naielewa sana.

Ila binafsi hua naona haiko fair.

Imagine jana Rodrigyo angekua na kiwango kama cha vin... angefanyiwa sub mapema tu.

ndo maisha yalivyo mkuu, uwezo mtupu sio kigezo cha mafanikio. Wa kina Jude vini, messi ronaldo, kuna kijana Palmer, foden na wengi tu wana PR nzitto za kuwapmabania, kuna vitu unaweza hata usiamani, unaweza kutu chombo kikubwa cha habari wachambuzi wanapenyezewa bahasha halafu unaona sifa zinamwaga kwa mtu.
Ni rahisi sana kuona Jude, vini au mbappe kuwa man of the match kwenye mechi ila kwa rodrygo sasa huwezi kumbuka mara ya mwisho lini ameshinda hio tunzo licha ya kuwa ni wazi kabisa yeye na Ceballos ndio wamekuwa best players wa timu in the last 10 games lakini huwezi sikia hata man of tha match kupata.
 
Belingham hawezi cheza namba za nyuma, moja weakness yake kubwa ni kushindwa ku cover position, always yupo out of position. ikiwa hapo namba 10 anashindwa kukaa muda wote yupo position ya 9 hivi kweli ataweza kutulia namba 8? na Pia ukisema wacheze wote kwa maana mtu kama Ceballos akae nje? time lazima inahitji mtu wa ku control tempo of the game bila ya hivo timu itazidiwa mechi zote.
Kweli kabisa.
 
ndo maisha yalivyo mkuu, uwezo mtupu sio kigezo cha mafanikio. Wa kina Jude vini, messi ronaldo, kuna kijana Palmer, foden na wengi tu wana PR nzitto za kuwapmabania, kuna vitu unaweza hata usiamani, unaweza kutu chombo kikubwa cha habari wachambuzi wanapenyezewa bahasha halafu unaona sifa zinamwaga kwa mtu.
Ni rahisi sana kuona Jude, vini au mbappe kuwa man of the match kwenye mechi ila kwa rodrygo sasa huwezi kumbuka mara ya mwisho lini ameshinda hio tunzo licha ya kuwa ni wazi kabisa yeye na Ceballos ndio wamekuwa best players wa timu in the last 10 games lakini huwezi sikia hata man of tha match kupata.
Sahihi kabisa, na wakiendelea hivi dogo anaweza kwenda arabuni kuchota hela.
 
Hii mechi siqezi kuikosa, nataka nione vijana wa benchi kama watakua na energy ya kutosha ?

Anyway Jessica la mbu hili hapa.
 

Attachments

  • FB_IMG_1738784072528.jpg
    FB_IMG_1738784072528.jpg
    88.1 KB · Views: 4
Tchou akicheza katikati hua anaupiga mwingi sana
Arda kwa kweli anavunja moyo sana, benchi analokaa analistahiki kabisa
Brahim diaz ni nyoko kabisa
Mendy sio wa mchezo mchezo jamaa hata bongo hafai
Endrik ana skill nzuri ila tatizo lake kubwa ni kukaa vizuri kwenye position, anakimbia sana box bila ya sababu ya msingi, yule kijana alieingia alikuja kufanya kitu ambacho Bobby kilikua kinamshinda
 
kuna mpuuzi anaejiita Madrista nilikuwa naangalia nae mechi, wakati enrick anatolewa alirusha matusi sana kwa Carlo, baada ya dogo alieingia kupachika bado alishindwa hata kushangiria kwa aibu
 
Tchou akicheza katikati hua anaupiga mwingi sana
Arda kwa kweli anavunja moyo sana, benchi analokaa analistahiki kabisa
Brahim diaz ni nyoko kabisa
Mendy sio wa mchezo mchezo jamaa hata bongo hafai
Endrik ana skill nzuri ila tatizo lake kubwa ni kukaa vizuri kwenye position, anakimbia sana box bila ya sababu ya msingi, yule kijana alieingia alikuja kufanya kitu ambacho Bobby kilikua kinamshinda
Tchou ni mzuiaji mzuri ila sio passer mzuri, kwahyo kucheza kama beki wa kati anaweza tena akicheza kama beki 4 ila hafai kucheza kama beki wa mwisho.

Diaz ni kipaji kikubwa.

Endrick ni mzuri ila binafsi naona anakurupuka sana kama ulivyosema hakai kwenye nafasi na kwenye maamuzi yake anakurupuka sana.

Vini kadekezwa sana na carlo jana kamuonesha utoto kaka mkubwa Modric.
 
kuna mpuuzi anaejiita Madrista nilikuwa naangalia nae mechi, wakati enrick anatolewa alirusha matusi sana kwa Carlo, baada ya dogo alieingia kupachika bado alishindwa hata kushangiria kwa aibu
Real Madrid, Barcelona na Manchester City zinaongoza kwa kua na mashabiki mamluki wengi hasa ukanda wa huku Africa.

Yule dogo aliefunga goli madrid haina mshamvuliaji aina ile.

Pure no 9... sema kwa umri wake ana kazi kubwa kutoboa kikosi cha kwanza, labda wamtoe kwa mkopo ligi ya Italy au ufaransa.
 
Real Madrid, Barcelona na Manchester City zinaongoza kwa kua na mashabiki mamluki wengi hasa ukanda wa huku Africa.

Yule dogo aliefunga goli madrid haina mshamvuliaji aina ile.

Pure no 9... sema kwa umri wake ana kazi kubwa kutoboa kikosi cha kwanza, labda wamtoe kwa mkopo ligi ya Italy au ufaransa.
Yule Dogo weekend iliyopita alitoka kufunga goli 4., sio bahati ila ni anakuja vizuri sana, ni vigumu kweli kutoboa ila inawezekana sema Coach asiwe Ancelloti, kwasababu sio mpenzi wa kulea vijana, acha tuone club itam-manage vipi.
 
Yule Dogo weekend iliyopita alitoka kufunga goli 4., sio bahati ila ni anakuja vizuri sana, ni vigumu kweli kutoboa ila inawezekana sema Coach asiwe Ancelloti, kwasababu sio mpenzi wa kulea vijana, acha tuone club itam-manage vipi.
Uhhakika kaka yaani dogo yawezekana hana kiwango kibuwa Sanaa ila ana tabia ya kishambuliaji kweli, kwahyo akipikwa anaweza kuja kua David villa mpya kwa Spain maana wana uhaba na striker hao.
 
Real Madrid, Barcelona na Manchester City zinaongoza kwa kua na mashabiki mamluki wengi hasa ukanda wa huku Africa.

Yule dogo aliefunga goli madrid haina mshamvuliaji aina ile.

Pure no 9... sema kwa umri wake ana kazi kubwa kutoboa kikosi cha kwanza, labda wamtoe kwa mkopo ligi ya Italy au ufaransa.

kwa ma super star waliopo Pale ni ngumu sana dogo kupata nafasi, mana linapokuja suala la mastaa hata rotation huwa hawafanyiwi kirahisi. wanatakiwa wamtoe kwa mikopo halafu wanaweza kula hela nzuri.

Madrid inahitaji striker sampuli za Josel ndio atatulia.
 
Yule Dogo weekend iliyopita alitoka kufunga goli 4., sio bahati ila ni anakuja vizuri sana, ni vigumu kweli kutoboa ila inawezekana sema Coach asiwe Ancelloti, kwasababu sio mpenzi wa kulea vijana, acha tuone club itam-manage vipi.

acha kukariri mkuu, Real Madrid ndio sio club ya kulea vijana, hata kabla ya Carlo ni kijana gani aliepata nafasi kiwepesi?

Vini na Rodrygo ni matunda ya Carlo, bila yeye sahivi wangelikuwa wapo french league wanacheza kobole.
 
Back
Top Bottom