Real Madrid v Barcelona-semifinal UEFA CHAMPIONSHIP

98% Barc ni mabingwa,na man asipokuwa makini tutashuhudia fainali ya magoli mengi,kwa mtazamo wng kwa sasa timu yenye uwezo wa kucheza na Barc ni Arsenal

Mkuu Arsenal hawa hawa au?
 

Maybe u r right lakini huwezi kutumia kizingizio cha red card kuwa ndio sababu ya kufungwa kila mechi! Maybe Mourinho anafanya hivyo makusudi kabisa kuwatuma wachezaji wake wacheze ovyo wapewe kadi?? After all tayari alishasema kabla ya mechi kwamba yuko tayari kucheza na wachezaji 10.....
Game hii ilikuwa na emotions sana ambazo kwa kiasi kikubwa zikichangiwa na Mourinho mwenyewe na vijembe vyake kabla ya mechi na this time Pep nae akajibu mapigo...and before u know it hasira ikahamia kwa wachezaji.
 
98% Barc ni mabingwa,na man asipokuwa makini tutashuhudia fainali ya magoli mengi,kwa mtazamo wng kwa sasa timu yenye uwezo wa kucheza na Barc ni Arsenal

Posted via Mobile Device.................Mkuu hebu nisaidie kufahamu location uliyopo nisije kukosea kukufanyia judgement bila kufahamu mazingira uliyopo
 
98% Barc ni mabingwa,na man asipokuwa makini tutashuhudia fainali ya magoli mengi,kwa mtazamo wng kwa sasa timu yenye uwezo wa kucheza na Barc ni Arsenal[/QU
UBINGWA BARCA 99.9%
 
jose yupo sahihi kabisa jamaa wanabebwa sana!marefa wanawalea sana tunawaita barcelona wazee wa fitna ila kwa ninavyomfaham murnho nae ni mzee wa fitna sana ngoja tusubiri game ijayo tuone kitatokea nini!
 
Arsenal bwana kwa kujifariji hatujambo!kocha wetu hana mbinu za kisasa za mpira!sijui kwa nini wenger habadilishwi
 
Utani pm tu rafiki yangu na utanipata kwenye jukwaa la sports na tena kwnye thread ya Barc
 
98% Barc ni mabingwa,na man asipokuwa makini tutashuhudia fainali ya magoli mengi,kwa mtazamo wng kwa sasa timu yenye uwezo wa kucheza na Barc ni Arsenal

mhh arsenal ndo timu ipi?ndo hii timu juzijuzi ilipigwa goli mpaka kipa akakaa kwenye nyavu anakunywa maji kujipooza...!!!
 
jose yupo sahihi kabisa jamaa wanabebwa sana!marefa wanawalea sana tunawaita barcelona wazee wa fitna ila kwa ninavyomfaham murnho nae ni mzee wa fitna sana ngoja tusubiri game ijayo tuone kitatokea nini!

Kwa kweli vinakera, timu nzima inakuja kuomba kadi........but marefa wanawasoma na itawaathiri kwenye games zijazo,

They putting much pressure on referees hata kwa vitu vidogo na hii inawaharibia sana....nakumbuka last year Biskuti alimegwa kidogo na Thiago utafikiri kavunjwa kiuno halafu anapiga chabo kuona kama jamaa kapewa kadi

That is childish side
 
Arsenal bwana kwa kujifariji hatujambo!kocha wetu hana mbinu za kisasa za mpira!sijui kwa nini wenger habadilishwi

Nenda kambadilishe wewe uliye na mbinu za kisasa tena inalipa kweli £6 million kwa mwaka utaacha hata kuja kupalilia hapa JF au Vipi?


mhh arsenal ndo timu ipi?ndo hii timu juzijuzi ilipigwa goli mpaka kipa akakaa kwenye nyavu anakunywa maji kujipooza...!!!

Na wewe Wacha ukelele umeanza kusema juzi tu wakati Abraham o vich kanunua timu, akifa na timu imekwisha what a loser khe kheeeeeeeeeeeee
 
Msiwe bias kiasi hicho ninyi anti-barca, ukweli ni kwamba kwa style ya mou anapokutana na barca totally anakuwa na aggressive mechancal tactics ili kuwa panicisha wachezaji wa barca wasicheze mpira wao wa siku zote.

Hilo barca amelitambua na wao hii mbinu ya kujilizia kama watoto wataitumia sana na believe me next game 11-10 men probability yake ni kubwa kama na kama tu mou anaendelea kuwajaza ujinga wachezaji wake kimbinu mou anaonekana kuzidiwa na huo ndio ukweli .

Tuone kama defensive style ataitumia next wiki wakati yuko nyuma kwa goli mbili .
Barcelona ni timu nzuri kwa sasa duniani kubali kataa na hizi ni nyakati najua inawauma sana wengi wenu.

Ndo maana mnakuja na argument nyingi za oooh barca wapendelewa endeleni mna haki lakini kumbukeni na sisi barca fans huwa tuna angalia mpira na hatupendezwi na ile style ya mou,
 
Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee vipi naona machabiki wa Manure mmeanza kulialia hata kabla ya kupata passport? khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee. Wakati Arsenal walipocheza na RVP kutolewa mlisema opposite lakini leo mnageuza kibao. What hypocrisy is that?

BTW the match was boring … … …. full of niggling tackles and deceit.
 
Kombe linabaki England baba.

Binafsi niliihofia Madrid Kuliko Barca.

Hili La Arsenal ndio Klabu pekee inayoweza kuifunga barca sikubaliuani nalo. Ule ushindi wa Emirates Mlibahatisha.

Sidhani kama Barca wanaweza kufungwa na Bolton katika Mchezo wa ''MUST WIN''

All in all subirini 28th May.
 

Vipi Wolves wakati mnataka kuwa Invincibles? Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Wacha ngebe kaka mpira sio hivyo Wivu unakusumbua kwa sababu Barca walifungwa na Arsenal ... ... kumbe unajua nini kinakuja khe khe kheeeeeeeeeeee magoli uliyaona yalikuwa na kubahatisha ...... .... bahatisheni na nyinyi au kubebwa mnakobebwa phew! Disgusting.



Mourinho nae mlalamishi kama Wenger!


Shut up!
 
Eqlypz

Niameandika hapo juu with all respect kwa Barca kuwa wanacheza mpira mzuri lakini binafsi naona pressure waliokuwa wanamjaza ref inanifanya niamini kuwa hawa jamaa they had something to do na kutaka kubebwa..What do i mean?, embu cheki na faulo ngapi ambazo Barca walikuwa wana suffer (ziw malicious au kuigiza), walikuwa wanamzonga ref, just imagine Valdes anakimbia mita zaidi 50 kuja kumzonga ref?, let alone Bad Boy alves alivojigaragaza kama kavunjwa inhal hata hajaguswa...najua ni mbinu za kiuana spot, lakn ktk il watu (kina sie) tuki connect dots we feel something fishy going on out there...kama unadhan nakosea fuatilia hightlights za mechi ya jana, kwa kuanzia tu, cheki na ile red card ya Pepe, jinsi Valdes na wenzake zaid ya 8 walitoka mita 30 mbali kuja mzonga ref...hilo ni tukio moja tu, let alone mengine..

Ayo ya nyuma, e.g. La Arsenal nadhan wenzangu wamelisema vzur, wakijibu vzur hoja yangu na u comedy wao, then tutaenda sawa...Barca are good, but with fair refereeing we will beat them..mark my words fellas.
 
''We had the intention to keep the game at 0-0, then bring on a striker, then a third phase with a No. 10 behind three forwards. But the ref didn't allow it.''
Jose Mourinho

I may be right or wrong, kwangu mimi sidhani kama Ade ndiye stricker ambaye angefit, maana wakati huo ilikuwa bado 11/11. Mimi huwa naangalia mechi za RM sababu ya Higuain, huyu anajua kufunga na anajua kutafuta nafasi, ndiye angefaa kuingia. Ozil hakutakiwa kuanza kwa vile anaonekana wazi kuwa mechi na Barca zinamsumbua, so Kaka angeweza kucover ile midfield position vizuri na pia ni mzuri kwa counter attack.

Bado kuna 90 minutes nyingine, mechi hii bado mbichi,Jose anatakiwa kuja kivingine ili aweze kusonga mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…