MILL8
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 1,837
- 879
kawabeba sana hawa machiziRefa amewabeba... Yaani nyie ni sawa na ccm, bila polisi hawajiwezi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kawabeba sana hawa machiziRefa amewabeba... Yaani nyie ni sawa na ccm, bila polisi hawajiwezi...
hahahaaaaa pole mkuu........kawabeba sana hawa machizi
Ahsante sana mkuuhongereni barca
hahahaaa.....matokeo yamepindukaAma kweli vise versa is true
Sawa mkuu tunakushukuru, bila shaka hasira zinakusumbuaRefa amewabeba... Yaani nyie ni sawa na ccm, bila polisi hawajiwezi...
Ahsante mkuuhahahaaaaa pole mkuu........
Inauma sana Barcelona kubebwa nyumban kwako, 3 MZUKA [emoji13] [emoji13]Refa amewabeba... Yaani nyie ni sawa na ccm, bila polisi hawajiwezi...
Dakika 90 tayari mzee baba, 3-0...leta sogaBaada Ya Dk 90 Ndio Tuanze Soga
*Baada ya kuitenda miujiza sehemu tofauti duniani. Messi alitoka Camp Nou akafika mji wa Madrid. Watu wengi walijaa kumlaki mfalme huyo wa soka, atoaye ubatizo wa moto. Natazama kulikuwa na mchezaji wa Real Madrid aitwaye CR7, Naye amepata upofu wa kushindwa kuziona nyavu za timu pinzani. Alipomuoana Messi alipaza sauti.. Mesiiiiiii, mesiiiiiii nihurumie nataka kuona tena.*
*Messi alipomuona akamuhurumia akamfuata, akamwambia..Maadam umekiri mimi ndiye mfalme wako. Nakuamuru uone tena sawa sawa na imani yako. Baada ya kuona, Cr7 akamwambia Messi nitakufuata popote utakapokwenda.*
*Messi akamjibu nenda kwenye ofisi ya Frolentino perezz. Akupe nauli Urudi Ureno, ukapate kusimulia miujiza uliyokutana nayo*
halafu wewe mchokozi*Baada ya kuitenda miujiza sehemu tofauti duniani. Messi alitoka Camp Nou akafika mji wa Madrid. Watu wengi walijaa kumlaki mfalme huyo wa soka, atoaye ubatizo wa moto. Natazama kulikuwa na mchezaji wa Real Madrid aitwaye CR7, Naye amepata upofu wa kushindwa kuziona nyavu za timu pinzani. Alipomuoana Messi alipaza sauti.. Mesiiiiiii, mesiiiiiii nihurumie nataka kuona tena.*
*Messi alipomuona akamuhurumia akamfuata, akamwambia..Maadam umekiri mimi ndiye mfalme wako. Nakuamuru uone tena sawa sawa na imani yako. Baada ya kuona, Cr7 akamwambia Messi nitakufuata popote utakapokwenda.*
*Messi akamjibu nenda kwenye ofisi ya Frolentino perezz. Akupe nauli Urudi Ureno, ukapate kusimulia miujiza uliyokutana nayo*
Bac Wapo VzrDakika 90 tayari mzee baba, 3-0...leta soga
Katubeba kwa lipi, kwa mpira ule waliocheza Barca wanastahili ushindi kabisa.Refa amewabeba... Yaani nyie ni sawa na ccm, bila polisi hawajiwezi...