Real Madrid V Fc Barcelona, From Santiago Bernabeu Stadium 23/03/2014

Real Madrid V Fc Barcelona, From Santiago Bernabeu Stadium 23/03/2014

be623dad77eb115a901f4478bd06ada4.jpg

Hahahh
 
  • Thanks
Reactions: PNC
*Baada ya kuitenda miujiza sehemu tofauti duniani. Messi alitoka Camp Nou akafika mji wa Madrid. Watu wengi walijaa kumlaki mfalme huyo wa soka, atoaye ubatizo wa moto. Natazama kulikuwa na mchezaji wa Real Madrid aitwaye CR7, Naye amepata upofu wa kushindwa kuziona nyavu za timu pinzani. Alipomuoana Messi alipaza sauti.. Mesiiiiiii, mesiiiiiii nihurumie nataka kuona tena.*

*Messi alipomuona akamuhurumia akamfuata, akamwambia..Maadam umekiri mimi ndiye mfalme wako. Nakuamuru uone tena sawa sawa na imani yako. Baada ya kuona, Cr7 akamwambia Messi nitakufuata popote utakapokwenda.*

*Messi akamjibu nenda kwenye ofisi ya Frolentino perezz. Akupe nauli Urudi Ureno, ukapate kusimulia miujiza uliyokutana nayo*
 
*Baada ya kuitenda miujiza sehemu tofauti duniani. Messi alitoka Camp Nou akafika mji wa Madrid. Watu wengi walijaa kumlaki mfalme huyo wa soka, atoaye ubatizo wa moto. Natazama kulikuwa na mchezaji wa Real Madrid aitwaye CR7, Naye amepata upofu wa kushindwa kuziona nyavu za timu pinzani. Alipomuoana Messi alipaza sauti.. Mesiiiiiii, mesiiiiiii nihurumie nataka kuona tena.*

*Messi alipomuona akamuhurumia akamfuata, akamwambia..Maadam umekiri mimi ndiye mfalme wako. Nakuamuru uone tena sawa sawa na imani yako. Baada ya kuona, Cr7 akamwambia Messi nitakufuata popote utakapokwenda.*

*Messi akamjibu nenda kwenye ofisi ya Frolentino perezz. Akupe nauli Urudi Ureno, ukapate kusimulia miujiza uliyokutana nayo*
d6a9370262184fbac89ea508b9f7c3fc.jpg
 
Baada ya kuitenda miujiza sehemu tofauti duniani. Messi alitoka Camp Nou akafika mji wa Madrid. Watu wengi walijaa uwanja wa Santiago Bernabeu kumlaki mfalme huyo wa soka... Atoaye ubatizo wa moto.

Natazama kulikuwa na mchezaji wa Real Madrid aitwaye CR7..Naye amepata upofu wa kushindwa kuziona nyavu za timu pinzani. Alipomuoana Messi alipaza sauti.. Mesiiiiiii, mesiiiiiii mfalme nihurumie...Nataka kuona Ili nianze kufunga tena.

Messi alipomuona moyo wake ukaingiwa na huruma. Akamfuata, akamwambia..Maadam umekiri mimi ndiye mfalme wako. Nakuamuru uone tena sawa sawa na imani yako. Baada ya kuona, Cr7 akamwambia Messi, nitakufuata popote utakapokwenda.

Messi akamjibu, nenda kwenye ofisi ya Frolentino perezz. Akupe nauli Urudi Ureno, ukapate kusimulia miujiza aliyokutendea LIONEL MESSI LAPULGA.
 
Baada ya kuitenda miujiza sehemu tofauti duniani. Messi alitoka Camp Nou akafika mji wa Madrid. Watu wengi walijaa uwanja wa Santiago Bernabeu kumlaki mfalme huyo wa soka... Atoaye ubatizo wa moto.

Natazama kulikuwa na mchezaji wa Real Madrid aitwaye CR7..Naye amepata upofu wa kushindwa kuziona nyavu za timu pinzani. Alipomuoana Messi alipaza sauti.. Mesiiiiiii, mesiiiiiii mfalme nihurumie...Nataka kuona Ili nianze kufunga tena.

Messi alipomuona moyo wake ukaingiwa na huruma. Akamfuata, akamwambia..Maadam umekiri mimi ndiye mfalme wako. Nakuamuru uone tena sawa sawa na imani yako. Baada ya kuona, Cr7 akamwambia Messi, nitakufuata popote utakapokwenda.

Messi akamjibu, nenda kwenye ofisi ya Frolentino perezz. Akupe nauli Urudi Ureno, ukapate kusimulia miujiza aliyokutendea LIONEL MESSI LAPULGA.
 
*Baada ya kuitenda miujiza sehemu tofauti duniani. Messi alitoka Camp Nou akafika mji wa Madrid. Watu wengi walijaa kumlaki mfalme huyo wa soka, atoaye ubatizo wa moto. Natazama kulikuwa na mchezaji wa Real Madrid aitwaye CR7, Naye amepata upofu wa kushindwa kuziona nyavu za timu pinzani. Alipomuoana Messi alipaza sauti.. Mesiiiiiii, mesiiiiiii nihurumie nataka kuona tena.*

*Messi alipomuona akamuhurumia akamfuata, akamwambia..Maadam umekiri mimi ndiye mfalme wako. Nakuamuru uone tena sawa sawa na imani yako. Baada ya kuona, Cr7 akamwambia Messi nitakufuata popote utakapokwenda.*

*Messi akamjibu nenda kwenye ofisi ya Frolentino perezz. Akupe nauli Urudi Ureno, ukapate kusimulia miujiza uliyokutana nayo*
halafu wewe mchokozi
 
Back
Top Bottom