Umefanana kama jina langu? Kivipi?Ahsante sana kaka ingawa nimefanana kama jina lako
Mwanangu asikudanganye mtu wanawake wazuri wapo, kama upo bongo epuka hao wanaojiita weupe angali huku ni wamatumbi tu.Amenunua chips na kuku, mimi nimechangia tu soda, yuko humble sana duuh
Nikiiangalia engine ya pikipiki imeshaingia gear no 5' na sasa realMamy anaendesha moyo wa Eli Cohen kwa speed 100! 😂Hakika mkuu, nilijua akiniona anaweza kuzania ni boda boda alie mleta eli cohen kumbe ndio mimi huyo huyo.
Amefurahi lakini, anasema eti nyuzi zako huwa zinatisha yale mambo ya spirits sana
Unampoteza huyu kijana mpenda vitonga😆😆😆
Na Imani yako Imethibitishika hakika 😂Kipindi nikiwa mdogo nilkiwa naamini kama wewe😁
Karibu supu mkuuNa Imani yako Imethibitishika hakika 😂
Supu ya nini mkuu Jack Sparrow?Karibu supu mkuu