Hadi mimi ni mkongwe kumbee 😄 wakongweeeeee hoyeeeeeeee mimi hoyeeeeeeee.... hoyeeeee hoyeeeeeeeee nivue kofiaa kofia hoyeeeeeeeee nivue shati shati hoyeeeeeeeeeeerara rere,mshamba hachekwi,extrovet,mshana,faiza foxy ,joanah,nawengine wengi nimewasahau
Hahaaaaa….Tupo kama hatupo….Miaka 15 sasa ndani ya JF….Ni kama juzi tuMzee Mwanakijiji umesahaulika kabisa JF wakati wewe ulikuwa ndio Icon ya JF ukiacha Founder mwenyewe Maxence Melo .
Leo nimemkumbuka mtukutu Yo Yo proud Kenyan.
Hivi Invisible yuko lakini? Wapi Superman bila kusahau Balantanda Bala is always here.
Maxence MeloMzee Mwanakijiji umesahaulika kabisa JF wakati wewe ulikuwa ndio Icon ya JF ukiacha Founder mwenyewe Maxence Melo .
Leo nimemkumbuka mtukutu Yo Yo proud Kenyan.
Hivi Invisible yuko lakini? Wapi Superman bila kusahau Balantanda Bala is always here.
Ngoja waje mpeane miongozo...
Uyu Amu naith nw kabadilisha ID au kama anatumia hii bass sawa ila nimemthKitambo hiyo si mchezo ,Vin Diesel ,amu
Hahahaha,inawezekanaUyu Amu naith nw kabadilisha ID au kama anatumia hii bass sawa ila nimemth
hahahahahaaaa ila jf wanajamvi wa mwanzo tulikuwa ndugu sana mpka basi na tumepoteana kia ID JF ZA HUJU
hata wewe umebadili id maaana naona hii ya kizazi kipyaUyu Amu naith nw kabadilisha ID au kama anatumia hii bass sawa ila nimemth
kwani yupo sijui kwakweli kama yupo hajitokeze tujueHivi BAK alipatwa nanini jamani???
♥️naona unachanganya ukongwe na umaarufu
Members wakongwe ni...
BAK
The boss
Nyani ngabu
Kiranga
Chief mkwawa
Pascal Mayalla na wengine.
Members maarufu sasa ndio hao uliowataja na wengineo