Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 2,139
- 5,109
umetelekeza id yako ya zamani?Sivumi lakini nimo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umetelekeza id yako ya zamani?Sivumi lakini nimo
Nikiwa team diamond sio 🤣🤣🤣
Hivi hatuwezi kupewa tuzo kweli?Miaka 15 sio poa na still active na account ni ileile
Mnastahili tuzo ya heshimaHivi hatuwezi kupewa tuzo kweli?
😂😂😂😂😂Nikiwa team diamond sio 🤣🤣🤣
😅😅😅Ukisibiri kutajwa utachelewa!
Nipo mkuuMiaka hiyo kulikuwa na watoa nyuzi haswa na wengi hawaonekani jukwaani kwa sasa km akina
Chakaza
DJ SEPETU
Chige
wa stendi
Morgan Fisherman
Quinine
mitale na midimu
Kaboom
dubu
Barbarosa
MSEZA MKULU
@DINAZARDE
Nmekukumbusha ujinga ujinga 😁😂😂😂😂😂
Aaah umenikumbusha mbali sana.
Ule Uzi WA Team mond na timu Kiba daaahNikiwa team diamond sio [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwakweli. It was fun tho😂😂Nmekukumbusha ujinga ujinga 😁
Tumekua watu wazima sasa, muda umepita....
Kabisa kabisa,nakutembeleana na kukaa viiti virefu
gfsonwin SnowBall cacico BADILI TABIA Yummy Sky Eclat Nyani Ngabu Mentor Jiwe Linaloishi Lily Flower Passion Lady @Russin Roulette AshaDii Kongosho klorokwini NyamayaoKitambo hiyo si mchezo ,Vin Diesel ,amu
Santoo sana! Jf kipindi hiko ilikua hot sana.... hakika tumezeeka!!Mwanzilishi wa Jamii Forum
JamiiForums
Bujibuji Simba Nyamaume
Mshana Jr
Chief mkwawa
Hawa ni baadhi niliowakuta
Na bestie Antonnia