Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka nione post husika nijue nilijibu niniSAS mbna Kuna member amekuhusisha kuwa mwanzo ulikuaa huamini uwepo wa mungu je Ni kweli hYo
Aaah! Kipindi hicho mada zililetwa za mambo ya kiroho kumjibu ujipangeKumbe Alisha pata kuwa mpinga kiristo
Ahhahahahah Ila wew mzee Ni mchokozi mno unawezaje kumuita our king the GENTAMYCINE mavi [emoji1787][emoji1787]
Msalani
Malaria sugu
Wangari maathai
Paka Jimmy
Bhanunu
Asprin
Nyani ngabu
kassie matata
Numbisa
bia yetu
shibe kijijini
spiderman
Tatizo lako uko humu jf kufuatilia maisha ya watuHabari wakuuu,
Naweza kusema mimi sio mkongwe sana, nimejiunga hapa jukwaani mwaka 2018, tokea nimejiunga apa members niliowaexperience kusoma mada na michango yao mingi ni wafuatao;
1.@GENTAMYCINE
2.@FaizaFoxy
3.@Extrovert
4. Pascal Mayalla
5.@Mshana Jr
6.@Behaviourist
7.@Shimba ya Buyenze
8. Depal
9.@Dengue
Hawa WAPEWE MAUA YAO.
Tutajie wa kwako maarufu au uliowakuta, wakongwee
Inawezekana alikuwa anakupima uelewa wako tu.Mshana Jr nakumbuka 2014 nilijaribu kupambana naye mada ya uwepo wa Mungu jamaa alinizaba za kutosha. Alinifanya nikapekua makabrasha ya kikristo sema sikumrudia wakat huo nilikua na UE ndo nikasahau mazima kabisa kumrudia. Nashangaa et now anamwamini Mungu[emoji23]
Alikuwa mdini kupita udini wenyewe. Yeye kila atakachoandika lazima akashfu imani za wengine. Kwa hiyo watu wakawa wanamripoti kwa Moderators anapigwa banIlikuwaje Hadi akalimwa ban nzito