RECORDS: Tutajie Wanajamii Forums Maarufu na Wakongwe Uliowakuta Humu

RECORDS: Tutajie Wanajamii Forums Maarufu na Wakongwe Uliowakuta Humu

Habari wakuuu,
Naweza kusema mimi sio mkongwe sana, nimejiunga hapa jukwaani mwaka 2018, tokea nimejiunga apa members niliowaexperience kusoma mada na michango yao mingi ni wafuatao;
1.@GENTAMYCINE
2.@FaizaFoxy
3.@Extrovert
4. Pascal Mayalla
5.@Mshana Jr
6.@Behaviourist
7.@Shimba ya Buyenze
8. Depal
9.@Dengue

Hawa WAPEWE MAUA YAO.
Tutajie wa kwako maarufu au uliowakuta, wakongwee
Tatizo lako uko humu jf kufuatilia maisha ya watu

Utauponza (Jokes[emoji23])
 
Kifupi ni kwamba Wakongwe wa JF wengi tumeamua kukaa kimya na kuwa wasomaji au wengine wame mute kabisa. Tumepitia mambo mengi mno kwa staili Ile ya kwetu enzi hizo za kujadili mambo mazito humu ndani. Kila mmoja wetu ametulia huko aliko ili aishi kwa Amani na salama au kuwa msomaji tu na kuchangia lightly tu. Hii ni kwa kulinda pia usalama na uhai wa JF na members wake. Poleni Sana mliojiunga JF kuanzia 2015 mmekosa mambo mazito na muhimu Sana kwa ushauri na maendeleo ya nchi yetu. JF is not the same anymore. Tuliosoma Cuba, Israel, na Urusi mtanielewa.
 
Back
Top Bottom