dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Umughaka pmj na story zote hzo siyo maarufu jmn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila nifunguapo ile uzi wake wa how music feels huwa nahisi yeye ndo mmiliki wake.....aliutendea haki sanabak ni long time sijaona post yake
Ilikuwaje Hadi akalimwa ban nzitoMalaria Sugu record yake ya ban haijavunjwa mpka kesho
Kutajwa na Mtu kwa Kukukubali na Kukubalika kisha unakuwa Namba Moja katika List yake si Kitu cha Mzaha kwani inaonyesha kuwa hata kama Kutwa ( 24/7 ) kuna Wapumbavu ( Fools ) Wengi watakuchukia, watakutukana, watakushambulia, watakuchafua na watakudhalilisha hapa JamiiForums kumbe wapo Wachache wenye Akili ( Intelligent ) watakupenda, watakuthamini, watakuheshimu na watakutia Moyo kwa aina ya Uwasilishaji wako Kuntu wa Masuala Mtambuka hapa Jamvini.Habari wakuuu,
Naweza kusema mimi sio mkongwe sana, nimejiunga hapa jukwaani mwaka 2018, tokea nimejiunga apa members niliowaexperience kusoma mada na michango yao mingi ni wafuatao;
1.@GENTAMYCINE
2.@FaizaFoxy
3.@Extrovert
4. Pascal Mayalla
5.@Mshana Jr
6.@Behaviourist
7.@Shimba ya Buyenze
8. Depal
9.@Dengue
Hawa WAPEWE MAUA YAO.
Tutajie wa kwako maarufu au uliowakuta, wakongwee
Kumbe Alisha pata kuwa mpinga kiristoMshana Jr nakumbuka 2014 nilijaribu kupambana naye mada ya uwepo wa Mungu jamaa alinizaba za kutosha. Alinifanya nikapekua makabrasha ya kikristo sema sikumrudia wakat huo nilikua na UE ndo nikasahau mazima kabisa kumrudia. Nashangaa et now anamwamini Mungu[emoji23]
Wew mwenyewe Ni mwandamizi sijui umesahaulika VIP ktk listMzee Mwanakijiji umesahaulika kabisa JF wakati wewe ulikuwa ndio Icon ya JF ukiacha Founder mwenyewe Maxence Melo .
Leo nimemkumbuka mtukutu Yo Yo proud Kenyan.
Hivi Invisible yuko lakini? Wapi Superman bila kusahau Balantanda Bala is always here.
Katika hao uliowataja kuna yeyote miongoni mwao hajawahi kupigwa ban?1.@GENTAMYCINE
2.@FaizaFoxy
3.@Extrovert
4. @Pascal Mayalla
5.@Mshana Jr
6.@Behaviourist
7.@Shimba ya Buyenze
8. @Depal
9.@Dengue
NEVER on earth.. Mimi ni mwamini kindakindakiKumbe Alisha pata kuwa mpinga kiristo
Vijana mnatakiwa Kutupa Maua yetuHabari wakuuu,
Naweza kusema mimi sio mkongwe sana, nimejiunga hapa jukwaani mwaka 2018, tokea nimejiunga apa members niliowaexperience kusoma mada na michango yao mingi ni wafuatao;
1.@GENTAMYCINE
2.@FaizaFoxy
3.@Extrovert
4. Pascal Mayalla
5.@Mshana Jr
6.@Behaviourist
7.@Shimba ya Buyenze
8. Depal
9.@Dengue
Hawa WAPEWE MAUA YAO.
Tutajie wa kwako maarufu au uliowakuta, wakongwee
Unalikumbuka battle la Masanilo na Malaria Sugu. Watu wazito sana hao. Masanilo nadhani ni PhD holder halafu ni Dr tuko zake Uungereza. Nilishawahi katana nae JB Belmont 2012
SAS mbna Kuna member amekuhusisha kuwa mwanzo ulikuaa huamini uwepo wa mungu je Ni kweli hYo
Mm nitaacha kukufolow kuku ignore masima hufai kbsa mtu mwenye matusiKutajwa na Mtu kwa Kukukubali na Kukubalika kisha unakuwa Namba Moja katika List yake si Kitu cha Mzaha kwani inaonyesha kuwa hata kama Kutwa ( 24/7 ) kuna Wapumbavu ( Fools ) Wengi watakuchukia, watakutukana, watakushambulia, watakuchafua na watakudhalilisha hapa JamiiForums kumbe wapo Wachache wenye Akili ( Intelligent ) watakupenda, watakuthamini, watakuheshimu na watakutia Moyo kwa aina ya Uwasilishaji wako Kuntu wa Masuala Mtambuka hapa Jamvini.
GENTAMYCINE hawezi kupewa Utajiri mkubwa wa Tunu ( Shani ) za kuwa "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" hivi huku akiwa na Utajiri wa Followers 166 JamiiForums na asiwe na Mvuto na Asikubalike.
Asante Mungu na Asante Mkuu wangu.
Mzee Mwanakijiji umesahaulika kabisa JF wakati wewe ulikuwa ndio Icon ya JF ukiacha Founder mwenyewe Maxence Melo .
Leo nimemkumbuka mtukutu Yo Yo proud Kenyan.
Hivi Invisible yuko lakini? Wapi Superman bila kusahau Balantanda Bala is always here.
Mpumbavu / Kubwa Jinga JF nzima kama Yeye huwa anakumbukika na Werevu / Great Thinkers wa hapa JamiiForums?Wew mwenyewe Ni mwandamizi sijui umesahaulika VIP ktk list
Na kama ni Member hapa JamiiForums halafu hujawahi kupigwa BAN jua ya kwamba huna Thamani yoyote ile na hata Akili pia huna.Katika hao uliowataja kuna yeyote miongoni mwao hajawahi kupigwa ban?