RECORDS: Tutajie Wanajamii Forums Maarufu na Wakongwe Uliowakuta Humu

RECORDS: Tutajie Wanajamii Forums Maarufu na Wakongwe Uliowakuta Humu

Habari wakuuu,
Naweza kusema mimi sio mkongwe sana, nimejiunga hapa jukwaani mwaka 2018, tokea nimejiunga apa members niliowaexperience kusoma mada na michango yao mingi ni wafuatao;
1.@GENTAMYCINE
2.@FaizaFoxy
3.@Extrovert
4. Pascal Mayalla
5.@Mshana Jr
6.@Behaviourist
7.@Shimba ya Buyenze
8. Depal
9.@Dengue

Hawa WAPEWE MAUA YAO.
Tutajie wa kwako maarufu au uliowakuta, wakongwee
Kutajwa na Mtu kwa Kukukubali na Kukubalika kisha unakuwa Namba Moja katika List yake si Kitu cha Mzaha kwani inaonyesha kuwa hata kama Kutwa ( 24/7 ) kuna Wapumbavu ( Fools ) Wengi watakuchukia, watakutukana, watakushambulia, watakuchafua na watakudhalilisha hapa JamiiForums kumbe wapo Wachache wenye Akili ( Intelligent ) watakupenda, watakuthamini, watakuheshimu na watakutia Moyo kwa aina ya Uwasilishaji wako Kuntu wa Masuala Mtambuka hapa Jamvini.

GENTAMYCINE hawezi kupewa Utajiri mkubwa wa Tunu ( Shani ) za kuwa "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" hivi huku akiwa na Utajiri wa Followers 166 JamiiForums na asiwe na Mvuto na Asikubalike.

Asante Mungu na Asante Mkuu wangu.
 
Habari wakuuu,
Naweza kusema mimi sio mkongwe sana, nimejiunga hapa jukwaani mwaka 2018, tokea nimejiunga apa members niliowaexperience kusoma mada na michango yao mingi ni wafuatao;
1.@GENTAMYCINE
2.@FaizaFoxy
3.@Extrovert
4. Pascal Mayalla
5.@Mshana Jr
6.@Behaviourist
7.@Shimba ya Buyenze
8. Depal
9.@Dengue

Hawa WAPEWE MAUA YAO.
Tutajie wa kwako maarufu au uliowakuta, wakongwee
Vijana mnatakiwa Kutupa Maua yetu
 
Kutajwa na Mtu kwa Kukukubali na Kukubalika kisha unakuwa Namba Moja katika List yake si Kitu cha Mzaha kwani inaonyesha kuwa hata kama Kutwa ( 24/7 ) kuna Wapumbavu ( Fools ) Wengi watakuchukia, watakutukana, watakushambulia, watakuchafua na watakudhalilisha hapa JamiiForums kumbe wapo Wachache wenye Akili ( Intelligent ) watakupenda, watakuthamini, watakuheshimu na watakutia Moyo kwa aina ya Uwasilishaji wako Kuntu wa Masuala Mtambuka hapa Jamvini.

GENTAMYCINE hawezi kupewa Utajiri mkubwa wa Tunu ( Shani ) za kuwa "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" hivi huku akiwa na Utajiri wa Followers 166 JamiiForums na asiwe na Mvuto na Asikubalike.

Asante Mungu na Asante Mkuu wangu.
Mm nitaacha kukufolow kuku ignore masima hufai kbsa mtu mwenye matusi
 
Back
Top Bottom