libero
Senior Member
- Aug 18, 2015
- 124
- 542
Eiyer alikuaga ana mada za kufikirisha sana.Kuna uzi aliletaga humu dogo mmoja akamponda akamwambia haumfikii the bold.Jibu alilomjibu sipo humu kushindwanishwa na tangia hapo hakuleta tena nyuzi zake za mambo ya UFO.