Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha umenikumbusha dongonla buku Saba. Sijui nani alilianzisha ila kulikuwa na kundi liliwekwa katika orodha akiwemo huyu Musa Allan, Lizaboni, Ritz, Zomba, Malaria Sugu na mkongwe Faiza...Vichawa vya buku saba Lumumba hana issue, usikute Saa hizi anakimbiza mwenge tu
bak sijui aliendaga wapi ni muda sanaMasai dada, MO11, BAK.
Huyu na Babu Asprin ilikuwa ni kopo na mfuniko..na wewe mkongwe sana Mama MkweKongosho, where are you ?
Nilitaka kusema hivyo hivyo🙂Mwanzilishi wa Jamii Forum
JamiiForums
Bujibuji Simba Nyamaume
Mshana Jr
Chief mkwawa
Hawa ni baadhi niliowakuta
Na bestie Antonnia
Comment yako inaashiria wewe ni mkongwe kuliko hii ID.Lara 1
Lege
Madame b
Enzi za ule uzi wetu maarufu
Yupo msoga analeaHuu uzi kama hayupo Lizaboni ni batili
bak ni long time sijaona post yakeHuyu lara 1 kapotelea wapi. Alikuwa moto wa kuotea mbali.
BAK
mzee mwanakijiji ndo wa pili kujoin humu baada ya melo mwenyewe😂😂 hawa ndo co foundersMzee Mwanakijiji umesahaulika kabisa JF wakati wewe ulikuwa ndio Icon ya JF ukiacha Founder mwenyewe Maxence Melo .
Leo nimemkumbuka mtukutu Yo Yo proud Kenyan.
Hivi Invisible yuko lakini? Wapi Superman bila kusahau Balantanda Bala is always here.
Ndiyo ndiyo..Enzi naisoma jf kama guest bila kutengeneza IDComment yako inaashiria wewe ni mkongwe kuliko hii ID.
Usikute aliingia kwenye 18 za shetani Kayafa mwendakuzimu.bak ni long time sijaona post yake
Sio kwamba unetelekeza ID yako ya 2010 mkuu?Ndiyo ndiyo..Enzi naisoma jf kama guest bila kutengeneza ID
Co founder ni Mike Mushimzee mwanakijiji ndo wa pili kujoin humu baada ya melo mwenyewe😂😂 hawa ndo co founders