Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
AshaDii ni JF staff kwa sasa nadhani atakuwa na ID mbadala.
Huyu mwanamke ni Asset ya JF tako lipo na akili kubwa ipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AshaDii ni JF staff kwa sasa nadhani atakuwa na ID mbadala.
Yoyo alikuwa mtukutu sana na alikuwa anazinguana sana na Nyani NgabuMzee Mwanakijiji umesahaulika kabisa JF wakati wewe ulikuwa ndio Icon ya JF ukiacha Founder mwenyewe Maxence Melo .
Leo nimemkumbuka mtukutu Yo Yo proud Kenyan.
Hivi Invisible yuko lakini? Wapi Superman bila kusahau Balantanda Bala is always here.
Hao sio Wakongwe ila ni Maarufu kwa kuanzisha madaHabari wakuuu,
Naweza kusema mimi sio mkongwe sana, nimejiunga hapa jukwaani mwaka 2018, tokea nimejiunga apa members niliowaexperience kusoma mada na michango yao mingi ni wafuatao;
1.@GENTAMYCINE
2.@FaizaFoxy
3.@Extrovert
4. Pascal Mayalla
5.@Mshana Jr
6.@Behaviourist
7.@Shimba ya Buyenze
8. Depal
9.@Dengue
Hawa WAPEWE MAUA YAO.
Tutajie wa kwako maarufu au uliowakuta, wakongwee
Vichawa vya buku saba Lumumba hana issue, usikute Saa hizi anakimbiza mwenge tu
Huyu yupo CCM Mkoa Arusha pale[emoji1787]Vichawa vya buku saba Lumumba hana issue, usikute Saa hizi anakimbiza mwenge tu
Joshua_ok na Stori zake za UmalayaHabari wakuuu,
Naweza kusema mimi sio mkongwe sana, nimejiunga hapa jukwaani mwaka 2018, tokea nimejiunga apa members niliowaexperience kusoma mada na michango yao mingi ni wafuatao;
1.@GENTAMYCINE
2.@FaizaFoxy
3.@Extrovert
4. Pascal Mayalla
5.@Mshana Jr
6.@Behaviourist
7.@Shimba ya Buyenze
8. Depal
9.@Dengue
Hawa WAPEWE MAUA YAO.
Tutajie wa kwako maarufu au uliowakuta, wakongwee
kipindi bado sijajiunga jf nlikuwa nkisoma comments zake naishia kucheka tuhuyo mo11 alikua anazingua sana comments zake,nakumbuka avatar yake ya HENRY
Wewe umeacha uchawa wa chama chakavu?Wakongwe tunawachora tu mnavyohangaika na watu maarufu jf na Wala sio wakongwe
Na mimi nilitaka kusema hivyo hivyo😄Zitto
Malaria Sugu
Afrodenzi
Asprin a.k.a Babu
William John Malecela a.k.a Le Mutuz
Ritz
Zomba
Paka Jimmy
Rev. Fr. Masanilo
Pascal Mayalla
Baadhi ya hawa ndio niliowakuta nilipojiunga miaka 14 iliyopita mwaka 2009.
Sent from my SM-A525F using JamiiForums mobile app
Mbona walikuwa wote wawili kipindi hicho na kina Ritz na @RutashobolwaMUSSA ALLAN Amebadili I'd anaitwa jingalao chawa fulani hivi
Sijawahi kufunguwa account Twitter, sijui kwa nini huu mtandao haujawahi kunishawishi hata hiyo app yao sina kwenye device kama Tiktok tu sina habari nao kabisa.
Ashaacha.AshaDii ni JF staff kwa sasa nadhani atakuwa na ID mbadala.
Huyu mwanamke ni Asset ya JF tako lipo na akili kubwa ipo.
Ooh nadhani alikuwa kama volunteer Fulani hivi.mAshaacha.
She is no more JF employee. Siku hizi namsoma mara moja moja huko X.