torvic
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 3,978
- 9,841
doooh! hii hatarii kabisa..!Pascal nani umesemaa..!!??
ni Pascal Mayalla mkuu nilichanganya mafaili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
doooh! hii hatarii kabisa..!Pascal nani umesemaa..!!??
Aisee aliyemtuliza huyu naomba nimjue... alikuwa hot sana na mastory yake ya townLara 1
Madam Balikuwa anafunguka kweli yule Mama.Lara 1
Lege
Madame b
Enzi za ule uzi wetu maarufu
WanaJF wengi average minded hawajui kutofautisha mtu maarufu na mkongwe. Mtu wakishinda nae kwenye nyuzi za chupi wanaona ni mkongwe au ana akili sana. Wakati kuna wababe kama barafuWewe ndiye kidogo umejaribu kuweka wakongwe. Mimi nashangaa mwanzisha thread ametaja ''watoto'' wa juzi juzi eti anasema ni wakongwe!
Watu kama kina Masanilo ndiyo najua ni wa siku nyingi.
Huyu lara 1 kapotelea wapi. Alikuwa moto wa kuotea mbali.
Alikuwa anaitwaga Pasco wakati huo JF ndio JF na mwaka 2012-2015 alinifanya niingie JF na ID nyingi nyingi kipindi hiko Kama Nt.......a, Shu.....gulo, mwana........, mwanamal......, Ncha...... na nyingine siwezi zitaja... tulikuwa tunawashambulia akina Chris Lukosi, Zitto, R.IP Lemutuz n.k wakati huo nikiwa Chadema damudamuPascal nani umesemaa..!!??
Mkongwe huyu.WanaJF wengi average minded hawajui kutofautisha mtu maarufu na mkongwe. Mtu wakishinda nae kwenye nyuzi za chupi wanaona ni mkongwe au ana akili sana. Wakati kuna wababe kama barafu
Kongole. Mtu akiwa maarufu kuanziasha nyuzi za mambo ya ngono huyo ndiyo role model yao.WanaJF wengi average minded hawajui kutofautisha mtu maarufu na mkongwe. Mtu wakishinda nae kwenye nyuzi za chupi wanaona ni mkongwe au ana akili sana. Wakati kuna wababe kama barafu
Du. Huyu Batalanda ni mkongwe haonekani mara kwa mara.Lijendari 🫣
Nusu ya hizo I'd ni za nepi mwenyewe.Nape Nnauye
Nnauye Jr
Tandale One
Kimeta cha Ufisadi
Malaria Sugu
Field Marshal ES
Mkuu wewe ni mkongweNusu ya hizo I'd ni za nepi mwenyewe.
Unaweza kusema hivyo.Mkuu wewe ni mkongwe
Kuna mtu alikuwa na story za kijasusi za kibabeeee simuoni hapa kwenye list...nilikuwa napenda sana kusoma makala zake....Habari wakuuu,
Naweza kusema mimi sio mkongwe sana, nimejiunga hapa jukwaani mwaka 2018, tokea nimejiunga apa members niliowaexperience kusoma mada na michango yao mingi ni wafuatao;
1.@GENTAMYCINE
2.@FaizaFoxy
3.@Extrovert
4. Pascal Mayalla
5.@Mshana Jr
6.@Behaviourist
7.@Shimba ya Buyenze
8. Depal
9.@Dengue
Hawa WAPEWE MAUA YAO.
Tutajie wa kwako maarufu au uliowakuta, wakongwee