Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
huyo mo11 alikua anazingua sana comments zake,nakumbuka avatar yake ya HENRYMasai dada, MO11, BAK.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo mo11 alikua anazingua sana comments zake,nakumbuka avatar yake ya HENRYMasai dada, MO11, BAK.
Sasa huu tuuite u racist au ushirikina?🙂🙂🙂Habari wakuuu,
Naweza kusema mimi sio mkongwe sana, nimejiunga hapa jukwaani mwaka 2018, tokea nimejiunga apa members niliowaexperience kusoma mada na michango yao mingi ni wafuatao;
1.@GENTAMYCINE
2.@FaizaFoxy
3.@Extrovert
4. Pascal Mayalla
5.@Mshana Jr
6.@Behaviourist
7.@Shimba ya Buyenze
8. Depal
9.@Dengue
Hawa WAPEWE MAUA YAO.
Tutajie wa kwako maarufu au uliowakuta, wakongwee
Huyu angalau
Nakumbuka sana...kuna wakati Malaria Sugu alipigwa ban akaenda kulalamika kwenye gazeti la Mwanahalisi. Siku hiyo hiyo akafunguliwa...I miss those days nadhani 2012 ilikuwa.Unalikumbuka battle la Masanilo na Malaria Sugu. Watu wazito sana hao. Masanilo nadhani ni PhD holder halafu ni Dr tuko zake Uungereza. Nilishawahi katana nae JB Belmont 2012
Mzee na wewe ni wa siku nyingi...naona sasa umeshapata PhD....hongera sana....Invisible wa kupiga ban na kutoa access kwenye lile jukwaaaaaaa maarufu...@Mzee Mwanakijiji ....dah. Nimemkumbuka Bujibuji Simba NyamaumeMzee Mwanakijiji umesahaulika kabisa JF wakati wewe ulikuwa ndio Icon ya JF ukiacha Founder mwenyewe Maxence Melo .
Leo nimemkumbuka mtukutu Yo Yo proud Kenyan.
Hivi Invisible yuko lakini? Wapi Superman bila kusahau Balantanda Bala is always here.
Sanaa sijui yupo wapi madameMadam Balikuwa anafunguka kweli yule Mama.
Kuna Mpumbavu hapo siwezi kusoma mada zake kwasababu ni PUMBA TUPUHabari wakuuu,
Naweza kusema mimi sio mkongwe sana, nimejiunga hapa jukwaani mwaka 2018, tokea nimejiunga apa members niliowaexperience kusoma mada na michango yao mingi ni wafuatao;
1.@GENTAMYCINE
2.@FaizaFoxy
3.@Extrovert
4. Pascal Mayalla
5.@Mshana Jr
6.@Behaviourist
7.@Shimba ya Buyenze
8. Depal
9.@Dengue
Hawa WAPEWE MAUA YAO.
Tutajie wa kwako maarufu au uliowakuta, wakongwee
Ni jinga lipi apo ??mkuuKuna Mpumbavu hapo siwezi kusoma mada zake kwasababu ni PUMBA TUPU
Jinga kabisa
Naaamnaona unachanganya ukongwe na umaarufu
Members wakongwe ni...
BAK
The boss
Nyani ngabu
Kiranga
Chief mkwawa
Pascal Mayalla na wengine.
Members maarufu sasa ndio hao uliowataja na wengineo
Of course JF is my second home, tumekaa hapa muda mrefu, JF imetufanyia mengi, our bond is unbreakableMzee na wewe ni wa siku nyingi...naona sasa umeshapata PhD....hongera sana....Invisible wa kupiga ban na kutoa access kwenye lile jukwaaaaaaa maarufu...@Mzee Mwanakijiji ....dah. Nimemkumbuka Bujibuji Simba Nyamaume
Sent from my SM-A525F using JamiiForums mobile app
Kuna huyu Boss aliyeuziwa Bandari juzi juzi hapa, anaitwa Bossi la dp worldHabari wakuuu,
Naweza kusema mimi sio mkongwe sana, nimejiunga hapa jukwaani mwaka 2018, tokea nimejiunga apa members niliowaexperience kusoma mada na michango yao mingi ni wafuatao;
1.@GENTAMYCINE
2.@FaizaFoxy
3.@Extrovert
4. Pascal Mayalla
5.@Mshana Jr
6.@Behaviourist
7.@Shimba ya Buyenze
8. Depal
9.@Dengue
Hawa WAPEWE MAUA YAO.
Tutajie wa kwako maarufu au uliowakuta, wakongwee