Now nchi inafuatiliwa ....through unbeaten record of yangaHii inalisaidia nini taifa wakati ukiwa na point 0.5 huko caf?
Maana simba kasaidia vilabu vingine kupanda ndege kucheza kimataifa(Namungo. , Yanga wenyewe, Biashara utd na Azam) Haya , hii ya uto inasaidia nini?
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Tunazungumzia kwenye league mkuu[emoji23][emoji23]Utopolo wanatafuta furaha ya kujulikana kimataifa wakati tangu 2016 hadi leo hawajawahi kushinda mechi yoyote ya kimataifa iwe ya kirafiki au kimashindano
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Kwa kuwa record ....bado inaendelea kuvunjwa.....hatuwezi kuweka kikomoZa rivers mlishinda?
Maana hesabu ya hizo game 39 mmetaja game za league ambazo zinajumuisha misimu miwili. Wekeni record sawa mueleweke. Kama ni season moja basi mseme ni unbeaten katika mashindano yote bila kuhusisha msimu wa 2022/23
Zile achana nazo mkuu[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni hili tyuuh au kuna lingine???Kama mchambuzi .....nipo tyr kuipongeza yanga...coz wameiheshimisha ..nchi yetu na ligue kwa pamoja wewe je!!!
cocastic View attachment 2333534
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unavurugwa vibaya wee.Kwn we hujaona li_record hilo la dunia[emoji15][emoji15]
Salaam wana jf
Club ya young africans imefanikiwa kuingia kwenye records za unbeaten kwenye ligue mbali mbali za duniani.....kwa wale ambao walikimbia umande ni kuwa yanga ndio timu pekee Tz na EA na Africa ambayo imecheza mechi nyingi bila kufungwa
Yanga yaingiaje rekodi ya unbeaten duniani??
Jibu ni kuwa yanga mpaka sasa wamecheza michezo 39 bila kupoteza ......na wakifanikiwa kushinda mechi yeyote kwenye ligue basi watakuwa wamevunja record ya chelsea......waliocheza mechi 40 bila kupoteza
Record ya timu unbeaten duniani
Fc porto.mechi 58...2021/2022
Ac milan mech 58. 1991/1993
Celtics. Mech 56 ....2016/2017
Bayern. Mechi. 53 ...2012/2014
Arsenal. Mechi 49......2003/2004
Juventus. Mechi 49. 2011/2012
Liverpool mechi 44. 2019/2020
Barcelona. Mechi 43. 2017/2018
Real madrid.Mech 42. 2016/2017
Chelsea. Mechi. 40. 2004/2005
Yanga sc. Mechi 39 2021/2022
Huko FIFA watu wanakanyagana kujua details ....za yanga
Je unafikiria nini unaposikia yanga ni timu unbeaten pekee africa??View attachment 2333512
Sasa kama furaha yenyewe imekuja tuikatae?Utopolo wanatafuta furaha ya kujulikana kimataifa wakati tangu 2016 hadi leo hawajawahi kushinda mechi yoyote ya kimataifa iwe ya kirafiki au kimashindano
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Unbeaten ya mchongo hiyo uto. Mwenye akili timamu huwezi kufurahia hiyo record . Ni mchongo tu ndio uliwaepusha na vipigo kutoka Namungo na ruvu .Sasa kama furaha yenyewe imekuja tuikatae?
Huo ni mwanzo tu babaakee yajayo yanafurahisha!