Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Mkuu, 1991/1993 ya AC Milan hapo ni msimu mmoja? Hapo zimehesabiwa tu mechi za bila kupoteza. Iwe msimu mmoja au kumi mfululizo haijalishi.Club zingine hapo zimeweka takwimu za msimu mmoja.
Sasa utopolo mmeweka takwimu za misimu miwili. Takwimu zenu zinatakiwa ziishie msimu wa 2021/22 ambao mmetwaa ubingwa, sasa nyie mmeendelea kuhesabu game za 2022/23. Hemu kuweni serious kidogo.
Huko Yanga kuna upumbavu mwingi sanaSalaam wana jf
Club ya young africans imefanikiwa kuingia kwenye records za unbeaten kwenye ligue mbali mbali za duniani.....kwa wale ambao walikimbia umande ni kuwa yanga ndio timu pekee Tz na EA na Africa ambayo imecheza mechi nyingi bila kufungwa
Yanga yaingiaje rekodi ya unbeaten duniani??
Jibu ni kuwa yanga mpaka sasa wamecheza michezo 39 bila kupoteza ......na wakifanikiwa kushinda mechi yeyote kwenye ligue basi watakuwa wamevunja record ya chelsea......waliocheza mechi 40 bila kupoteza
Record ya timu unbeaten duniani
Fc porto.mechi 58...2021/2022
Ac milan mech 58. 1991/1993
Celtics. Mech 56 ....2016/2017
Bayern. Mechi. 53 ...2012/2014
Arsenal. Mechi 49......2003/2004
Juventus. Mechi 49. 2011/2012
Liverpool mechi 44. 2019/2020
Barcelona. Mechi 43. 2017/2018
Real madrid.Mech 42. 2016/2017
Chelsea. Mechi. 40. 2004/2005
Yanga sc. Mechi 39 2021/2022
Huko FIFA watu wanakanyagana kujua details ....za yanga
Je unafikiria nini unaposikia yanga ni timu unbeaten pekee africa??View attachment 2333512
Hivi hii unbeaten ni lini? Mbona kama kumetulia sana. Yanga hamna shangwe jamaniMkuu..Toka lini timu unbeaten akawa m,,bovu
Kumbeee mbona simba hizo mambo alifanya sanaaUnbeaten maana yake kutopoteza point hata moja.....na yanga kafanya hivo last season
πππKuna ile situation umeenda kujipima (pepa) na vipanga..wapo tisa ...bahati mbaya wew ukawa wa 10 mwisho.....
Automatically utafurahi atleast kuwa wa mwisho mbele ya vipanga[emoji23][emoji23]
Hujui kipindi hiki mambo yalivyo kiganjani mwako hahahaaBasi tungemuona kwny hii record ya (wababe) dunia
π€£π€£π€£ Daah! Hakika.It's doesn't matter.....kufaulu ni kufaulu mkuu [emoji23][emoji23]