Records zinambeba Yanga Kwa Al ahly

Facts
 
Madhara ya kukimbia shule hayo.
 
Eti "Hawa miamba"!Hiiiiiiii!Na huo uuwiano wa mechi unaoibeba Utopolo uko wapi?Watu wakivimbiwa matobholwa wanakuwa hopelesses hadi basi.
 
Najua utopolo wengi mlikuwa hamjazaliwa,Yanga walifungwa na Al Ahly goli 5-0 mwaka 1982,na wakapigwa tena goli 4-0 mwaka 1988
Naikumbuka hii ya 1982 ilinisikitisha sana kwa figisu walizofanyiwa Yanga kule Misri.
Mpaka half time ubao 0-0
Dakika ya 11 kipindi cha pili Omar Hussein (Keegan) anaweka chuma refa anakataa.
Waarabu wakaona isiwe tabu hawa ni kuwatoa mchezoni tu basi. Na kweli mashabiki wakaanza vimbwanga vyao magoli yakawa yanamiminika tu mpaka yakafika 5.

Tukabaki wakija Tanzania watatukoma ni sisi lazima tuwafanyie fujo.
Wapi bana hata ukucha hawakuguswa. Matokeo yakawa 1-1 .Na jumla kua 6-1
 
Yote hii Ni Uhuru kuzidi.

Yanga haijacheza makundi Cafcl miaka 25 iliyopita. Wakati Al Ahly amecheza karibia miaka yote hiyo na kutwaa ubingwa zaidi ya Mara 3.

Halafu leo unavimbiwa unakuja kutuambia rekodi zinambeba Yanga!

Uchovu wa akili!
 
Yote hii Ni Uhuru kuzidi.

Yanga haijacheza makundi Cafcl miaka 25 iliyopita. Wakati Al Ahly amecheza karibia miaka yote hiyo na kutwaa ubingwa zaidi ya Mara 3.

Halafu leo unavimbiwa unakuja kutuambia rekodi zinambeba Yanga!

Uchovu wa akili!
Tatizo mlikandwa Tano ..... Al ahly anapigika
 
Hapana mkuu mi ni shabiki wa ile timu ilokandwa 5 na simba hapo lupaso [emoji23]
We utakuwa umeanza kuangalia mpira juzikati, mechi ya Simba kushinda Yanga 5-0 ilikuwa ya mchongo kutokana na mgogoro mkubwa uliokuwepo jangwani, ilikuwa 2012, Mimi niliangalia hiyo mechi nakumbuka vizuri, wachezaji wa Yanga hawakumtaka Mwenyekiti na kulikuwa na ugomvi mkubwa jangwani wa Yanga asili versus Yanga Kampuni , hebu hivi Sasa waambie papatu papatu Simba waifunge Yanga tano bila, mkiweza nakuwa kolowizard!
 
Hivi yanga wameshawahi kukubali kufungwa na Simba kihalali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…