Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
- Thread starter
- #41
FactsMnacheza na ambaye mnamkuza mkidhani kuwa Yanga hamuwezi
Tumewatamguliza nyie mgambo wetu,vita ikiwashinda wanajeshi twaja
Halafu huyo Al Ahyl Kila siku anakandwa 5,4 na Mamelodi
Mtani punguza hofu,jipange
Siye Wala hatutingishi,yeye ni kipimo Bora kwetu