Records zinambeba Yanga Kwa Al ahly

Records zinambeba Yanga Kwa Al ahly

Mnacheza na ambaye mnamkuza mkidhani kuwa Yanga hamuwezi

Tumewatamguliza nyie mgambo wetu,vita ikiwashinda wanajeshi twaja

Halafu huyo Al Ahyl Kila siku anakandwa 5,4 na Mamelodi

Mtani punguza hofu,jipange

Siye Wala hatutingishi,yeye ni kipimo Bora kwetu
Facts
 
"Yanga atampiga Al Ahly na atachukua alama sita kwa Medeama."-

Japo mechi itakuwa ngumu... lakini itakuwa ni ya kisasi

Mechi walizocheza

Hawa miamba wamekutana mara 4

Al ahly kashinda mechi 2

DRaw 1

Yanga kashinda mechi 1

NB: Kuna timu ilikandwa 5_0 [emoji23]View attachment 2774179
Madhara ya kukimbia shule hayo.
 
"Yanga atampiga Al Ahly na atachukua alama sita kwa Medeama."-

Japo mechi itakuwa ngumu... lakini itakuwa ni ya kisasi

Mechi walizocheza

Hawa miamba wamekutana mara 4

Al ahly kashinda mechi 2

DRaw 1

Yanga kashinda mechi 1

NB: Kuna timu ilikandwa 5_0 [emoji23]View attachment 2774179
Eti "Hawa miamba"!Hiiiiiiii!Na huo uuwiano wa mechi unaoibeba Utopolo uko wapi?Watu wakivimbiwa matobholwa wanakuwa hopelesses hadi basi.
 
Samahani mkuu,hao waliokandwa goli Tano ni akina nani!?
NHIF
JamiiForums-2031200063.jpg
 
Najua utopolo wengi mlikuwa hamjazaliwa,Yanga walifungwa na Al Ahly goli 5-0 mwaka 1982,na wakapigwa tena goli 4-0 mwaka 1988
Naikumbuka hii ya 1982 ilinisikitisha sana kwa figisu walizofanyiwa Yanga kule Misri.
Mpaka half time ubao 0-0
Dakika ya 11 kipindi cha pili Omar Hussein (Keegan) anaweka chuma refa anakataa.
Waarabu wakaona isiwe tabu hawa ni kuwatoa mchezoni tu basi. Na kweli mashabiki wakaanza vimbwanga vyao magoli yakawa yanamiminika tu mpaka yakafika 5.

Tukabaki wakija Tanzania watatukoma ni sisi lazima tuwafanyie fujo.
Wapi bana hata ukucha hawakuguswa. Matokeo yakawa 1-1 .Na jumla kua 6-1
 
"Yanga atampiga Al Ahly na atachukua alama sita kwa Medeama."-

Japo mechi itakuwa ngumu... lakini itakuwa ni ya kisasi

Mechi walizocheza

Hawa miamba wamekutana mara 4

Al ahly kashinda mechi 2

DRaw 1

Yanga kashinda mechi 1

NB: Kuna timu ilikandwa 5_0 [emoji23]View attachment 2774179
Yote hii Ni Uhuru kuzidi.

Yanga haijacheza makundi Cafcl miaka 25 iliyopita. Wakati Al Ahly amecheza karibia miaka yote hiyo na kutwaa ubingwa zaidi ya Mara 3.

Halafu leo unavimbiwa unakuja kutuambia rekodi zinambeba Yanga!

Uchovu wa akili!
 
Yote hii Ni Uhuru kuzidi.

Yanga haijacheza makundi Cafcl miaka 25 iliyopita. Wakati Al Ahly amecheza karibia miaka yote hiyo na kutwaa ubingwa zaidi ya Mara 3.

Halafu leo unavimbiwa unakuja kutuambia rekodi zinambeba Yanga!

Uchovu wa akili!
Tatizo mlikandwa Tano ..... Al ahly anapigika
 
Hapana mkuu mi ni shabiki wa ile timu ilokandwa 5 na simba hapo lupaso [emoji23]
We utakuwa umeanza kuangalia mpira juzikati, mechi ya Simba kushinda Yanga 5-0 ilikuwa ya mchongo kutokana na mgogoro mkubwa uliokuwepo jangwani, ilikuwa 2012, Mimi niliangalia hiyo mechi nakumbuka vizuri, wachezaji wa Yanga hawakumtaka Mwenyekiti na kulikuwa na ugomvi mkubwa jangwani wa Yanga asili versus Yanga Kampuni , hebu hivi Sasa waambie papatu papatu Simba waifunge Yanga tano bila, mkiweza nakuwa kolowizard!
 
We utakuwa umeanza kuangalia mpira juzikati, mechi ya Simba kushinda Yanga 5-0 ilikuwa ya mchongo kutokana na mgogoro mkubwa uliokuwepo jangwani, ilikuwa 2012, Mimi niliangalia hiyo mechi nakumbuka vizuri, wachezaji wa Yanga hawakumtaka Mwenyekiti na kulikuwa na ugomvi mkubwa jangwani wa Yanga asili versus Yanga Kampuni , hebu hivi Sasa waambie papatu papatu Simba waifunge Yanga tano bila, mkiweza nakuwa kolowizard!
Hivi yanga wameshawahi kukubali kufungwa na Simba kihalali?
 
Back
Top Bottom